Saturday, March 8, 2014

TAZAMA PICHA UONE BALAA JINGINE LA MSICHANA TOKA BONGO MOVIE ALIYEPIGA PICHA ZA AJABU NA KUZIACHIA MTANDAONI...!!

Tanzanian actress Salma Tamim(Sabby Angel) has posed topless for a photoshoot in Kenya. The actress who has already started to make waves in the industry with movies opposite big names including Vicent Kigosi(Ray) and Muhsin Awadhi(Dr.Cheni) looks extremely hot in the shoot. Sabby was in Kenya for almost two weeks and news is that there are some Kenyan film companies which have already shown interest to work with this Tanzanian bombshell actress. No doubt Sabby is one of the most sexiest actresses in Tanzania. She is also a singer and model.
Check out the exclusive images below.

DUNIA SI MDA MREFU ITACHOMWA MOTO!! WAZUNGU WAZIDI KUSAMBAZA LAANA ZAIDI YA SODOMA NA GOMORA.

mwanaume akioa mke zaidi ya mmoja.Yaani kwao wanaona ni haramu sana kuruhusu hilo kwa wanaume.

Lakini cha ajaabu ni kwamba wanaruhusu ndoa za jinsia moja mfano mwanaume kumuoa mwanaume au mwanamke kumuoa mwanamke mwenzie.

Ndoa hizo za jinsia moja zinawezwa kufungishwa makanisani au taasisi zingine zinazohusika na zikaonekana za kawaida sana kwao.
Sasa kama mwanaume kuoa mke zaidi ya mmoja kwa wazungu sio sahihi na wanapinga sana hili,kwanini waone sahihi na kuruhusu ndoa za jinsia moja??

Kama ndoa ya mke zaidi ya mmoja,kanisa au taasisi nyingi za kwao haziwezi kupitisha,yaani mwanaume akawa na wake wawili woote kwa wakati mmoja,kanisa halitaweza kukubali na kufungisha ndoa hiyo maana itaonekana kinyume na taratibu,sasa iweje ndoa za jinsia moja zikubaliwe na kanisa au taasisi hiyohiyo??


Ukienda kwenye maandiko aidha ya biblia au Quran,MUNGU hajaruhusu kabisa ndoa za jinsia moja,sasa hawa wazungu na wote wanazozitetea wanafungisha kwakupitia maandiko gani??? 
Mnaita haki za binadamu,kwanini ndoa za mke zaidi ya mmoja nazo mnazikataa,na hamsemi kuwa ni haki za binadamu bali kwa Africa inaonekana kwamba ndio tuna maadili potofu???
 
Hizi ni zaidi ya laana za Sodoma na Gomora maana kipindi kile zilikuwa zaidi miji hiyo miwili lakini sasa ndoa za jinsia moja zinapigiwa debe zienee dunia nzima kwa kisingizio kwamba ni haki za binadamu.
 
Tanzania tunajipangaaje kukataa ndoa hizi???
 


ANGALIA PICHA ZA KUSHANGAZA ZA NDOA YA JINSIA MOJA KWELI DUNIA IMEKWISHA. 


Mashoga na Wasagaji wamefunga ndoa iliyoshuhudiwa na mamia ya watu katika Kisiwa cha Rhodes Island na Minnesota nchini Marekani.
 

UKISTAAJABU YA MUSA, UTAYAONA YA FIRAUNI…


Ripoti mbalimbali Agosti Mosi mwaka jana nchini Marekani, zinasema kuwa kwa sasa nchini Marekani zaidi ya robo ya Wamarekani wanaunga mkono ndoa za jinsia moja na makanisa mbalimbali yameingia na kuendelea kufungisha ndoa za aina hiyo.

Nirrow - Mizimu (Official HD VIDEO)

Thursday, February 20, 2014

PICHA : HAYA NDIO MAZINGIRA YA AKINA DADA WALIOKIMBIA BONGO NA KWENDA KUJIUZA ITALY, INASIKITISHA SANA..!!


Hizi ni baadhi ya picha zinazo onyesha jinsi kina dada kutoka barani afrika wanavyo fanya biashara ya kuuza miili yao iliwaweze kujikimu kimaisha, kwani wengi wamekuwa wakienda uko kwajili ya mambo mbalimbali kama kusoma ama kufanya kazi lakini kutokana na ugumu wa maisha wanaokutana nao huko dada zetu huwamua kuingia katika biashara ya ukahaba ili waweze kujikimu.



HABARI PICHAZ...DIAMOND AZIDI KUTISHA SOUTH AFRICA...ATUPIA PICHA AMBAYO NI GUZO MTANDAONI NOW....!!!


Thursday, October 17, 2013

Friday, September 13, 2013

CHUPI NA SHANGA ALIZOONYESHA SHILOLE ZAMFANYA ACHUKULIWE HATUA ZA KINIDHAMU...!!

MWENYEKITI wa Kamati ya Umoja wa Mashirikisho ya Sanaa Tanzania, Kimela Billa, ameutaka uongozi wa Shirikisho la Muziki Tanzania, kumchukulia hatua ya kinidhamu, msanii wa muziki wa mduara, Zuwena Mohamed ‘Shilole’ kwa kosa la kukiuka maadili ya Tanzania katika tamasha la Serengeti Fiesta, mkoani Iringa.

 

  


Shilole alipanda jukwaani akiwa anacheza wimbo wake wa ‘Nakomaa na jiji’ huku akiwa amevaa nguo ambazo zinaonesha maumbile yake yote ya mwili.

Akizungumza jijini Dar es Salaam, Billa alisema Shirikisho la muziki chini ya rais wake, Addo Novemba wanatakiwa kuchukua hatua zaidi juu ya shilole kwa kosa la kuwadhalilisha wanawake ikiwa ni pamoja na kukiuka maadili ya Tanzania.


“Hatukatai hayo mambo yapo lakini kwa staili ile sisi kama viongozi wa sanaa hatutaweza kuvumilia, shirikisho la muziki wakishindwa kutekeleza hili lazima kamati ilivalie njuga swala hilo, kiukweli wanalidhalilisha taifa hawa wasanii, mbona wanaume hafanyi shoo zao uchi,? Alihoji Billa.


Alisema shirikisho la muziki liige mfano wa shirikisho la filamu kama lilivowaonya Wema Sepetu na Aunt Ezekiel kwa makosa kama hayo, ambapo anamini kwaasilimia kubwa kunachangia kuwa na nidhamu wanapopanda jukwaani.



“Angekua ameenda kwa shughuli za filamu wangelifanya wao lakini hili shirikisho la muziki wanatakiwa wakae meza moja na Shilole kulizungumzia hilo, wao wanakua wazito kuwachukulia hatua wasanii wa muziki kuliko filamu lakini kwa hili haitawezekana, ,” alisema.

Friday, July 5, 2013

PICHA ZA LAANA ZA KUNDI LA BAIKOKO - TANGA


Hizi  ni  baadhi  ya  picha  za  kundi  la  wacheza  uchi / nusu  uchi  maarufu  kwa  jina  la  Baikoko  lenye  maskani  yake Tanga....
 
 
 
 

Wednesday, July 3, 2013

MAHAKAMA YAWAACHIA HURU VIONGOZI WA CHADEMA BAADA YA MWIGULU NCHEMBA KUSHINDWA KUTHIBITISHA AINA YA TUSI ALILOTUKANWA


Mwita  Waitara
Mahakama ya Hakimu Mkazi Mjini Singida  jana imetupilia mbali kesi iliyokuwa inawakabali viongozi wawili wa CHADEMA NduguMwita Waitara ambaye ni afisa sera na utafiti makao makuu na mshauri wa chama hicho Dk Kitila Mkumbo. 
  
Katika hukumu yake aliyeiyosoma mbele ya wakili wa washtakiwa hao Tundu Lissu, hakimu wa Mahakama hiyo Masham alisema kuwa washatakiwa hawana kesi ya kujibu kwa kuwa mashahidi wa serikali walishindwa kuthibitisha aina ya matusi yaliyodaiwa kutolewa na washtakiwa. 

Aidha, hakimu huyo alisema kwamba upande wa serikali walishindwa kumleta shahidi muhimu katika kesi hiyo Mwigulu Nchembaaliyedaiwa kutukanwa ili athibitishe kwamba yeye ndiye aliyetukanwa na namna ambavyo matusi hayo yamemuathiri. 

"Kushindwa kwa Mwigulu Nchemba kufika mahakamani ni kuonyesha kwamba ama hajui kwamba alitukanwa au hakuona kosa lolote alilotendewa na mahakama haiwezi kutoa uamuzi kwa mambo ya kuhisiwa".. alisema hakimu huyo.  

Washtakiwa walidaiwa kutenda kosa hilo tarehe 14 Julai mwaka jana katika mkutano wa hadhara uliofanyika katika Kijiji cha Ndago wilayani Iramba ambapo Chama cha Demokrasia na Maendeleo kilikuwa na mkutano wa hadhara. 

Kesi hiyo imekuwa ikisuasua mara nyingi kwa upande wa serikali kushindwa kuleta mashahidi mahakamani na kusababisha kesi hiyo kuahirishwa mara kwa mara, jambo ambalo lilikuwa likimkera hakimu wa kesi hiyo.

MACHANGUDOA WAULAANI UJIO WA OBAMA....WANADAI HAUKUWA NA PESA IKILINGANISHWA NA ULE WA BUSH



Katika hali ilisiyokuwa ya kawaida,  machangudoa wameulalamikia ujio wa Rais Barack Obama kwa kile kinachodaiwa  kuwa  haukuwa na faida yoyote kwa kukosa dili za pesa.



" Tumesikitishwa sana na ujio wa Obama kwani tulikuwa tumejipanga kupiga hela ndefu sana .

"Bahati mbaya watu  wake tuliokuwa tunategemea kuwanasa walikuwa busy na wale  wa  mikoani  walizuiwa"Walisema akina dada hao.
 
Machungudoa hao wanadai  kuwa  kipindi cha Bush alipokuwa Rais ambaye alikaa nchini karibu wiki moja walinufaika sana ambapo wengi wao walijenga majumba kwa pesa za ziara ya Bush .