Tuesday, April 9, 2013

SAMAHANI KWA PICHA HIZI..........BUT NDIYO MAISHA YA WANAFUNZI MAHOSTELI.....



NI AIBU KUYAGEUZA MAISHA YA SHULE KUWA KAMBI YA MAPENZI

Siku hizi ni kawaida kwa wanafunzi kupiga picha chafu kwa kisingizio cha ugumu wa maisha.......
Mbali na kisingizio hicho, wapo pia ambao hupiga kwa lengo la kutafuta umaarufu na wapo pia ambao hupigwa na wapenzi wao pasipo kukusudia........
Haijalisha alipigwa na mpenzi wake au alijipiga bila kukusudia.Sote tunajua,mwanafunzi ni sawa na kioo cha jamii maana hao ndo viongozi wa taifa la kesho.....Iko haja ya kubadilika

No comments:

Post a Comment