Friday, March 29, 2013

Diamond Platinum akiwa na judges katika music video audition ya kumtafuta model ambaye ataweza kufanya video mpya ya Diamond Platinum.Zoezi ili lilifanyika katika maeneo ya Nyumbani lounge Jijini Dar es Salaam

.

Diamond hapo akielezea sababu na dhumuni zilizomfanya mpaka afanye hivyo huyu hapa anafunguka kwa dzain hii "kusema kweli nimeona umuhimu kwasababu unakuta pale msanii anapoamua labda kufanya video mpaka aanze kutafuta watu lakini mimi nikaona kwanini ni si ajili watu wa kunifanyia video zangu kama models na ndiyo maana leo hii ni siku maalum ya kumtafuta yule ambaye ataweza kufanya video mpya ya kwangu na pia kumuajili katika kazi zangu za muziki kwa hiyo pale ninapoamua kufanya video ninakuwa ninajua kabisa nina watu kadhaa wa kufanya nao video".Hayo ndiyo maneno ya Diamond wa wasafi akielezea sababu na dhumuni la kufanya Music Video Audition leo maeneo ya Nyumbani lounge jijini Dar es Salaam.
 

Rihanna - Diamonds (acoustic cover)

Mandela arudishwa hospitalini Pretoria



Mandela apelekwa hospitalini tena
Rais Mstaafu wa Afrika Kusini Nelson Mandela amepelekwa hospitalini kufanyiwa uchunguzi wa kiafya.
Taarifa kutoka kwa afisa ya Rais wa Afrika Kusini zimesema kuwa uchunguzi huo ni wa kawaida tu.
Kwa muujibu wa tovuti ya Urais, Madaktari wanaomfanyia uchunguzi Mzee Mandela wamesema hakuna haja ya kuwa na taharuki yeyote.
Kwa muda mrefu sasa hali ya kiafya ya rais huyo mstaafu imekuwa ni swala la kutia wasiwasi.
Mandela mwenye umri wa miaka 94 alilazwa hospitalini kwa siku 18 mwezi wa Desemba mwaka jana kutokana na kutatizwa na mapafu pamoja na vijiwe ndani ya kibofu chake cha mikojo.
Taarifa iliyoandikwa kwenye mtandao wa Ofisi ya Rais Jacob Zuma zimeeleza kuwa Mzee Mandela alipelekwa katika Hospitali ya Mjini Pretoria kwa uchunguzi wa kawaida wa ki-afya.
Taarifa hiyo imeendelea kusema kuwa hatua hiyo imechukuliwa kutokana na matatizo yanayoambatana na umri wake mpevu.
Mzee Mandela alihudumu kama rais wa Afrika Kusini kati ya mwaka 1994 hadi 1999 na ndiye rais wa kwanza mweusi kuwahi kuitawala nchi hiyo.
Kutokana na juhudi zake za kupigania demokraisa na kupambana na sera za ubaguzi wa rangi nchini humo, Mzee Mandela anatambulika kama Baba wa Taifa nchini Afrika Kusini.
Tangu mwaka 2004 Mzee Nelson Mandela amekuwa hajitokeza hadharani au kushiriki katika shughuli zozote za umma.

Rais mstaafu Mandela hospitalini tena


Rais wa zamanai wa Aafrika Kusini, Nelson Mandela amelazwa tena hospitalini baada ya kuugua tena ugonjwa wa mapafu.

BINTI ABAKWA MPAKA KUFA...ALIKUWA ANATOKA NACHINGWEA RESORT


BINTI ABAKWA MPAKA KUFA...ALIKUWA ANATOKA NACHINGWEA RESORT


Bint aliyejulikana Mariam amekutwa na mauti  baada ya kubakwa mpaka kufa....
 
Vijana hao waliokosa utu na kushindwa kumuogopa Mungu walifanya kitendo hicho mbele ya eneo la kanisa(Voda st)Nachingwea Lindi.
 
Marehemu alikuwa  na  mkasa   huo wakati akitoka Nachingwea Resort(NR) katika muziki siku ya ijumaa.Inasadikika marehemu amelewa  na wabakaji  alitoka nao muziki.