Saturday, April 6, 2013

HUKU MJI WA MANCHESTER UKIGAWANYIKA KWA RANGI 2 - HOTELI MOJA YAFANYA MAKUBWA YAANDA VYUMBA VYENYE KUMBUKUMBU, VITU NA MAJINA YA KIHISTORIA YA UNITED NA CITY



Huku muda ukizidi kusogea kuelekea mchezo wa mahasimu wa jiji la Manchester siku ya Jumatatu, mji wenyewe umekuwa katika hali ya kujigawanya kwenye rangi mbili bluu na nyekundu kama inavyokuwa kila mchezo huu unapokaribia. Ingawa safari hii mbio za ubingwa zikiwa zimekaribia kuisha na kufikia tamati.
Na wale washabiki wa timu hizi ambao watakuwa wanatoka sehemu nyingine tofauti na Manchester wametaarishiwa Hotel ya Piccadilly's Premier Inn ambao itakuwa imegawanyika kwa floors mbili tofauti zenye rangi nyekundu na bluu.
Wakati baa za katikati ya mji zikiwa tayari zina himaya aidha ya United au City, hotel hiyo iliyopo maili kadhaa kutoka uwanja wa Old Trafford imechukua njia tofauti kuwapa hali washabiki watakaofikia hotelini kwa ajili ya mchezo husika.

Wameandaa vyumba vilivyopewa kumbukumbu na watu muhimu wa vilabu hivyo viwili vya mji wa Manchester. 
 
 
Late check-in: City fans can remind themselves of the greatest moment in their history
Chumba hiki ni maalum kwa washabiki wa Man City kujikumbusha muda ambao Aguero alipofunga goli la ushindi ya QPR na kuipa City ubingwa msimu uliopita.


Red carpet
Upande huu ni washabiki wa United
Blue carpet
Hii sehemu ya vyumba vya washabiki wa Man City 

Mashabiki wa United wametaarishiwa vyumba vyenye majina kama vile fans  Room 99 - 'The Treble Room' - and Room 19 - 'The Champions Suite' - ili kuwapa hali ya kwenda kuipa nguvu timu yao waweze kujihakikishia ubingwa mwingine wa 20 wa kihistoria katika Premier League .

Kwa upande wa japokuwa baadhi wameanza kukata tamaa ya ubingwa msimu huu wametaarishia chumba cha kujikumbusha ubingwa wao kwa kukumbuka muda wa goli la Aguero lilowapa ubingwa kwa chumba kimojawapo kupewa jina la "The Aguero Suite' in room '93:20'.


 Wakati mashabiki ambao hawashabikii upande wowote baina ya timu hizo mbili wamepewa chumba kilichopewa jina la watu waliozitumikia timu zote mbili  'Dennis Law Suite' na 'The Sparky Mark Hughes Suite', 




E NI SAHIHI KWA MTOTO WA KIKE KUTOKA NYUMBANI NA KWENDA KUPANGA?




Heshima kwenu wadau,sasa hivi kuna trend kubwa ya wasichana ambao kidogo unakuta wamejaaliwa kupata walau kipato cha kawaida tu na kuamua kutoka nyumbani kwao kwenda kupanga chumba.....
Je hili mnalionajae liko sawa au sio sawa?....
Wazazi  wengine  wanaamini  kuwa    hata kama binti  amejaaliwa kupata kazi basi akae kwao mpaka mungu atakapojaalia kumpa mwenza wa ndoa....

Unasemaje  kaka, dada, mjomba, baba au  mama  juu  ya  hili???

KAMA HUJAWAHI KUMUONA, BASI HUYU NDO BIBI ANAYEDAI KUISIKIA SAUTI YA MUNGU




Amani usiamini! Bibi kizee Veronica Amos Kayombo (76), mwenyeji wa Ludewa, Njombe anayeishi Buza, Dar, amedai kuisikia sauti ya Mungu ikimuagiza akaonane na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Jakaya Mrisho Kikwete ampe ujumbe muhimu, shuka nayo.
MAHOJIANO MAALUM
Akizungumza na gazeti hili katika mahojiano maalum mwanzoni mwa wiki hii akiwa nyumbani kwake Buza, Bibi Veronica alisema amekuwa akitokewa na Mungu mara kwa mara na kumpa maelekezo mengi ambayo anatakiwa kuyatoa pale atakapofika kwa Mheshimiwa Rais Kikwete.

ATOKEWA NA TASWIRA YA MUNGU
“Nimekuwa nikitokewa na taswira na sauti ya Mungu, kwa idadi inaweza kufika mara saba na kuambiwa
kuwa nisiondoke Dar, bila kuonana na Kikwete ili nimpe zawadi zake ambazo nimezitunza kwa muda mrefu na siri iliyoko moyoni ambayo nimepewa na Mungu,” alisema bibi kizee huyo.

KWA NINI JK?
Aliendelea kusimulia kwa masikitiko kuwa zawadi atazompatia JK ni kwa ajili ya kumpongeza kwa kuweza kuwasaidia albino, watu wasiojiweza, wazee na kutuliza vita nchini Kenya na Uganda ambazo zilikuwa zimejifichwa kwani nchi nyingine kama Rwanda na Burundi zilikuwa wazi.

ANATOKEA NJOMBE
Bibi Veronica alifika Dar akitokea Njombe kwa ajili ya mazishi ya mama yake mdogo na baada ya kumaliza msiba alijiandaa kuondoka lakini Mungu alimtokea 6:00 mchana na kumweleza kuwa asiondoke hadi atakapoonana na JK.

ATUMIA MKWANJA MREFU
Baada ya hapo amekuwa akifanya jitihada za aina mbalimbali kwa ajili ya kuonana na rais lakini hadi sasa hajafanikiwa kwani ameshapoteza fedha nyingi kwa kuwahonga watu ili wamfikishe Ikulu pale Magogoni, Dar na kutoa kopi za barua kwa ajili ya kuomba maombi ya kukutana naye.
“Nimepoteza fedha nyingi sana kila ninayekutana naye ananiambia atanipeleka lakini nimpatie fedha, natoa mpaka sasa nimeishiwa, nimeshaenda mpaka ofisi zote zinazohusika na kuwakutanisha watu na rais lakini sikufanikiwa, watu wamekuwa wakiniona chizi lakini nina akili zangu timamu na maono haya ni ya Mungu kwani mbali na kuambiwa pia la kufanya nikifika huko lipo kwenye kitabu hiki (anaonesha Biblia).
Bibi kizee huyo alipoona ameshahangaika huku akizuia kila mara kuingia Ikulu, aliamua kuita vyombo mbalimbali vya habari na kufikisha ujumbe wake ambapo mbali na hapa gazetini pia radio zitarusha matangazo yake moja kwa moja yatamfikia Rais Kikwete.

AMPA ZAWADI LOWASSA, MKAPA
Kwa mujibu wa bibi Vero, aliwahi kukutana na aliyekuwa Waziri Mkuu, Edward Lowassa ambaye alimpatia gunia la mahindi na zawadi za Rais wa Awamu ya Tatu, Benjamin Mkapa na mkewe Mama Ana Mkapa alipokuwa kwao Njombe.
Kumbukumbu zinaonesha kuwa mama huyo wakati anatoa zawadi hizo alioneshwa kwenye vyombo vya habari ambapo alitoa kitenge cha mama, gunia la mahindi na zawadi ya rais huyo mstaafu.

GODZILLA AAMUA KUFUNGA SAFARI NA KWENDA SEGEREA, KUMTEMBELEA MFUNGWA ANAEMZIMIA KINOMA



zila
Msanii wa kizazi kipya nchini Tzee Godzilla aka Godzizi hivi karibuni amefunguka kuhusu mpango wake wa kushow love kwa kumtembelea moja ya shabiki wake mkubwa aliefungwa gereza la segerea.
Taarifa hizi zimeenea siku chache baada ya msanii wa filamu nchini maarufu kama Kajala kufunguka kupitia mahojiano ya kutuo kimoja cha radio kuwa wakati alipokuwa korokoroni gereza la segerea alipata nafasi ya kukutana na mtu mmoja anae mzimia msanii Godzilla to the max.

Mfungwa huyo alietajwa kwa jina moja la Zahara inasemekana ni shabiki namba moko wa Gozizi huko prizon ambae anaugua kukutana face to face na Rapper huyo one day.
Baada ya habari hizo kumfikia Gozilla Rapper huyo alifunguka bila kufikiria mara mbili kuwa anytime soon atatimba gereza la segerea ili kukutana na mfungwa huyo ambae ni shabiki mkubwa wa muziki wake.
Zilla amesema maamuzi yake yana lengo moja tu la kumpa shabiki wake haki ya kujiskia kuwa mziki unaweza kumuunganisha na mtu anaempenda akiongeza kuwa kufanya hivyo kutawezesha kuwafanya watu wengine kama Zahara kuamini kuwa zilla ni mtu wao.

ZZO BIZNESS KUTOKA NA SINGLE MPYA"LOVE ME"

Top Talent
Rapper kutoka Mbeya City, Izzo Bizness baada ya kuona mashabiki wanazidi kukubali kazi zake katika sanaa ya muziki,sasa yuko tayari kuachia ngoma yake nyingine mpya itakayokwenda kwa jina ya LOVE ME .
Izzo Bizness akiongea na mtandao huu alisema katika ngoma hiyo mpya anayotarajia kuichia siku za hivi karibuni amewapa collabo wasanii wawili ambao ni Barnaba na Shaa,chini ya producer Nahreel na mixing Master J kutoka Mj record.Kwa hiyo wale mashabiki wa Izzo B kaeni tayari kwa ujio huo mpya.

JAY Z BEYONCE NDANI YA CUBA KUSHEREHEKEA ANIVERSARY YAO




Top Talent:  katika kusherehekea miaka hiyo 5 inasemekana Jay na Bey wamesafiri na familia yao wiki hii kuelekea Havana kwenye sherehe hiyo muhim
Rap-up.com wameripoti kuwa wawili hao wameungana na mama zao wote wawili
(Tina Knowles and Gloria Carter) kwenye safari hiyo na kutembelea sehem mbali mbali katika mji huo wa kihistoria ikiwa ni pamoja na Colonial Old Havana

Beyonce na Jay-Z walioana kisiri siri april 4 2008, kwenye sherehe zilizofanyika kwenye apartment ya Jay Z iliyoki New York, wageni waalikwa wakiwemo Chris Martin, Kelly Rowland, Gwyneth Paltrow, na Michelle Williams.

PREZZO NA WEMA SEPETU



YALIYOMKUTA BONTA YAMEMKUTA RICKY ROSS




Top Talent
kama unakumbuka vizuri mwishoni mwa mwaka uliopita, watu waliamua kuzungumza na kumkosoa msanii Bonta kutokana na mstari uliyokuwa kwenye wimbo wake "matusi" unaosema "nina thamani zaidi ya bikira, maria.........mstari uliomfanyakukosolewa kujitetea sana kwa kutokuwa na maana ya watu walivyoutafsiri na kusema umetafsiriwa vibaya.
leo hii jambo hilohilo limemkuta Ricky Ross baada ya mashabiki kummindi kwa mistari yake iliyokwenye ngoma "You Ain't even Know It" ambapo anaskika akirap

"Put molly all in her champagne, she ain't even know it / I took her home and enjoy that, she ain't even know it."

na kupelekea radio station "Michigan" kupiga nyimbo za Rossey mpaka atakapoomba radhi na petition kumtaka kuomba radhi kwa mashairi hayo ambayo yanaonekana kuchochea ubakaji


katika kujitetea kupitia radio Q93.3 Ross amesema

"nataka kuhakikisha hii inakaa sawa, mwanamke ni zawadi nzuri sana kwa mwanaume, urmeelewa?ni kutokuelewa tu huu mstari, na kuutafsiri vibaya wakati sijatumia neno kubaka, siwezi kutumia neno kubaka katika kazi zangu"


Ross amehakikisha kuwa hakuna mtu yoyote chini ya Maybach Music Group anaesapoti ubakaji
"
assured that no one in the Maybach Music Group camp was a supporter of rape. "And as far as my camp, Hip Hop haisapoti, mitaa haisapoti hiyo, hakuna mtu yoyote anaesapoti ubakaji umeelewa?.naomba kuwaambia ma gueen waote na sexy ladies na warembo wote kwenye timeline yangu kuhusu kutokuelewa kwa mstari huo, hatusapoti ubakaji na sijihusishi nayo." amesema Ross.

BINTI ANANILAZIMISHA NIMFANYE KINYUME NA MAUMBILE.....NAOMBA USHAURI




Wadau embu nishaurini, nina Girlfriend wangu ambae ni mke wa mtu, huyu mwana dada ni mama wa watoto wawili...

Kila nikikutana nae kwa siri kubwa katika suala la mapenzi anasema anafaidi sana mapenz yangu kuliko ya mume wake...

 Sasa juzi kaniambia kipindi yupo chuoni alikuwa na boyfriend wake aliyeanza kumchezea sehemu za kinyume na maumbele, ameniomba sana nimkumbushie sababu ameshindwa kuvumilia kuishi na mume wake bila "kufanya kinyume na maumbile".....

Kumwambia mume wake amchezee "nyuma" hadhubutu sababu anamheshimu.Sasa kanipa hiyo kazi mimi, kwa kweli sjawai kupiga iyo kitu jamani....

Jana kanilazimisha sana ila sjafanya hivyo.Sasa nipo njia panda wadau, nikiachana nae na misaada yake kwangu itakuwa ndo mwisho, ushauri wenu Tafadhali....

HABARI ZILIZOPO KATIKA MAGAZETI YA LEO






.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.

AUNT EZEKIEL ANASWA AKIWA NUSU UCHI UKUMBINI



Kweli sikio la kufa halisikii dawa! Licha kuolewa na Sunday Demonte, msanii wa filamu za Kibongo, Aunt Ezekiel ametia aibu kwa mara nyingine tena baada ya kunaswa nusu utupu ukumbini usiku wa manane....
 
Tukio hilo lililoshuhudiwa na mwandishi wetu lilijiri juzikati katika Ukumbi wa Nyumbani, mjini hapa ambapo Aunt aliwashangaza mashabiki waliofurika kwenye shoo ya Bendi ya FM Academia ‘Wazee wa Ngwasuma’.

Aunt alivaa kipensi kilichoacha mapaja yote wazi hadi kulazimika kujifunika kwa pochi na kitopu ‘transiparenti’ kilichoonesha kila kitu hadi ‘chakula ya mtoto’.

Baada ya midume kumuona akiwa amevaa kihasara huku akijificha nyuma ya jukwaa baadhi yao walimfuata na kuanza kumzingira kisha kumwagizia ulabu kama mvua kila mmoja akitamani kuondoka naye kwenda kumfaidi kimapenzi.

Baadhi ya madalali wa magari wa eneo la Masika mjini hapa walimvamia Aunt na kuanza kumgombea wakiongozwa na mmoja wao aliyeonekana kuwa jirani zaidi na msanii huyo.

Mwanahabari wetu alipomfuata Aunt na kumuuliza kulikoni akatoka Dar kuwafuata Ngwasuma Mji Kasoro Bahari huku akiwa kihasara kiasi hicho, mke huyo wa mtu alifunguka: 

“Nipo hapa Moro zaidi ya siku sita na nitaendela kuwepo kwa zaidi ya siku kumi, nipo na kundi langu tunarekodi filamu kwenye Hoteli ya Nashera.”

Alipobanwa kuhusiana na kinguo alichovaa huku mapaja na maungo mengine nyeti yakionekana, alicheka na kukatisha mahojiano: “Siwezi kuzungumza chochote kama vipi chukua namba yangu unipigie kesho.”

Kesho yake alipopigiwa, simu yake iliita bila kupokelewa.
Siyo mara ya kwanza, Aunt amekuwa akifanya matukio yasiyoendana na hadhi ya mke wa mtu akijiachia kihasara ikiaminika kuwa anafanya hivyo kwa kuwa hakai na mumewe ambaye yupo huko Dubai.

MMILIKI WA JENGO LILILOBOMOKA DAR APEWA SIKU 30 ZA KUBOMOA JENGO LAKE JINGINE LA GHOROFA 16




Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa Anna Tibaijuka, ametoa siku 30 kwa mmiliki wa jengo la ghorofa 16, lililopo Mtaa wa Indira Gandhi katikati ya jiji, Ally Raza kulibomoa jengo hilo baada ya kubainika alilijenga chini ya kiwango.

Kadhalika Kamati ya Ardhi, Maliasili na Mazingira imeiagiza Halmashauri ya Manispaa ya Ilala, kufanya uchunguzi wa ubora wa majengo mengine matano yanayomilikiwa na Raza ambaye pia ni mmiliki wa jengo lingine la ghoroga 16 lililoporomoka wiki iliyopita jijini Dar es Salaam kama yako katika viwango vinavyokidhi.

Jengo hilo lililoporomoka lilisababisha vifo vya watu 36, majeruhi 17 na uharibifu wa mali ikiwamo magari linamilikiwa na Raza.

Jengo hilo lilikuwa likijengwa na Kampuni ya Lucky Construction Limited ambayo ni mali ya Diwani wa Kata ya Goba (CCM) Wilaya ya Kinondoni, Ibrahim Kisoki ambaye pia alijenga jengo jingine jirani na la awali, imetolewa amri ya kufanyika kwa utafiti kubaini kama limekidhi viwango.

Profesa Tibaijuka akizungumza mbele ya Kamati hiyo walipofanya ziara katika jengo hilo jana, alisema uchunguzi wa awali wa kuporomoka kwa jengo hilo umebaini kuwa jengo lililoko mkabala, pia lilijengwa chini ya viwango.

“Ninaagiza jengo hilo kuwa libomolewe ndani ya siku 30 kwa gharama za mmiliki na akikaidi atalipishwa faini ya asilimia mbili ya gharama ya kuendeleza pasipokuwa na kibali kwa kila siku hadi atakapotekeleza agizo hilo,” alisema Profesa Tibaijuka na kuongeza;

“Makazi haya yanatakiwa kujengwa majengo yasiyozidi ghorofa 10, lakini katika hili ghorofa ambalo linatakiwa kubomolewa kwanza kiutaalamu halikuzingatia vigezo kutokana na kujengwa kwenye kiwanja chenye mita 150 ambacho ni kidogo.”

Naye Mwenyekiti wa Kamati hiyo, James Lembeli alisema kuna taarifa kwamba mmiliki wa jengo anamiliki majengo mengine ambayo hivi sasa yanakaliwa na watu pia yamezua hofu, hivyo yanatakiwa kufanyiwa uchunguzi.

“Kutokana na majengo yake mawili ambayo tayari yameleta utata kwa kuonekana kujengwa chini ya viwango, hivyo tunataka majengo mengine anayomiliki, Manispaa ya Ilala iyafanyie uchunguzi mapema ili kuepusha madhara ambayo yanaweza kutokea,” alisema Lembeli.

Naye Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Mazingira, Dk Terezya Huvisa amewataka watu wanaotaka kujenga majengo yenye zaidi ya ghorofa sita kufika ofisini kwake kupata vibali vya ujenzi.

“Mtu yeyote anayetaka kujenga jengo zaidi ya ghorofa sita anatakiwa kuomba kibali wizarani na wao kupitia Baraza la Taifa la Mazingira (NEMC) watatoa kibali cha kujengwa au kutojengwa kutokana na uchunguzi wa sehemu husika,” alisema Dk Huvisa.

CHAKUA YAPANIA KUIBURUZA MAHAKAMANI SUMATRA BAADA YA KUPANDISHA NAULI ZA MABASI NA DALA DALA KIHOLELA




Chama cha Kutetea Abiria Tanzania (CHAKUA) kimesema kinaiburuza kortini Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri wa Majini na Nchikavu (SUMATRA), kwa madai kuwa hakikushirikishwa kwenye mchakato wa kuongeza nauli za abiria.
Aidha, CHAKUA kimeitaka serikali kuuwajibisha uongozi wa juu wa SUMATRA kwa kuifuta na kuunda upya kwa madai kwamba imeshindwa kusimamia maslahi ya wananchi wanyonge.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, Mshauri wa chama hicho, Wilson Mashaka, alisema tangazo la kupandisha nauli halikujengwa kwa dhana ya ushirikishwaji, kwani vikao vilivyofanyika kati ya Septemba na Novemba, 2012, vilifanyika kwa kuwashirikisha wamiliki wa mabasi lakini wadau muhimu kama CHAKUA hawakushirikishwa.

KIJANA AFUNGWA MIAKA 10 JELA KWA KOSA LA "KUMPIGA DENDA" NA KUMTOMASA UKENI BINTI WA MIAKA 13 HUKO MPANDA




MAHAKAMA Hakimu ya Mkazi ya Wilaya ya Mpanda imemhukumu Kassim Lugendo (41) mkazi wa kijiji cha Kambanga tarafa ya Kabungu kifungo cha miaka 10 jela kwa kosa la kumnyonya ulimi mtoto wa kike mwenye umri wa miaka 13, anayesoma darasa la tano katika Shule ya Msingi Igalula, bila ridhaa yake.

Hakimu Mkazi Mfawidhi wa Mahakama hiyo, Chiganga Tengwa alitoa hukumu hiyo jana baada ya kuridhika na ushahidi uliotolewa mahakamani hapo.

Awali katika kesi hiyo, Mwendesha Mashtaka, Mkaguzi wa Polisi, Ally Mbwijo aliieleza mahakama hiyo kuwa mshitakiwa Lugendo alitenda kosa hilo Machi 30 mwaka jana, saa sita mchana akiwa nyumbani kwake.

Ilidaiwa kuwa siku hiyo ya tukio mtoto huyo alikuwa akitoka shuleni akielekea nyumbani kwao ndipo mshitakiwa alipoona anapita karibu ya nyumba yake ambapo alimwita msichana huyo na kisha alimwingiza kwa nguvu nyumbani kwake.

Mbwijo aliiambia mahakama kuwa, baada ya mshitakiwa kumwingiza ndani ya nyumba yake msichana huyo, alianza kumnyonya ulimi kwa nguvu huku akimtomasa sehemu za siri kwa vidole.

Ilielezwa mahakamani hapo kuwa wakati akimfanyia uovu huo, mtoto huyo alikuwa akiomba msaada kwa kupiga kelele muda ambapo majirani walifika eneo la tukio na kumkuta mshitakiwa akiwa ameshaanza kumvuta mtoto huyo sketi yake ya shule.

Katika kesi hiyo, upande wa mashitaka ulileta mahakamani hapo mashahidi watatu na mshitakiwa hakuwa na shahidi yeyote.

Akijitetea, Lugendo aliiomba mahakama isimpe adhabu kwa kile alichokieleza kuwa yeye ana familia ya watoto saba na wazazi wake wote wawili ni walemavu, hivyo ana watu wengi wanaomtegemea.

Hata hivyo, Hakimu Chiganga alisema kitendo alichokifanya mshitakiwa ni cha kinyama na hatari kwani kina weza kumsababishia mtoto huyo ugonjwa wa ukimwi. Alimtia hatiani na kumwadhibu kifungo cha miaka kumi jela.
MAPENZI YA SIRI
Naomba kushare hii na wadau , Kwa kifupi niko kwenye mahusiano mapya yapata miezi nane tu, na Jamaa keshanitangazia Ndoa , tatizo linakuja anataka tufunge Ndoa ya Siri ya Serikalini then baadaye ndiyo tunakuja Bariki Kanisani , Nikiuliza sababu ni kuwa anajaribu kukwepa Complications za Kanisa kwa kuwa hana Vyeti vya Ubazito na Wazazi wake woote walishafariki, Nikimshauri tukajieleze kanisani anakataa , amekazana hiyo haita kubaliwa tutapoteza muda ni heri tufunge kwanza Serikalini , then tuanze na kufuatilia ya Kanisa Taratibu
Nikimpekua pekua simkuti na chochote cha kunioneshea labda anamahusiano na kama anayo basi ni Msiri sana
Mbaya zaidi hiyo Ndoa ya Serikali hataki wapambe wala kuvaa Shela wala Picha eti tuende na nguo za kawaida tu kupunguza Bajeti !
heshima ya Ndoa ninaitaka lakini mbona hii hainiingii, kuna inayemuingia hapa ?Hivi Raha ya Ndoa ni nini si ujumuishe watu ??au nimekutana na JINI Maana hana Ndugu wengi , zaidi ya Jamaa za hapa na pale
Desperate Woman
NAOMBA MNISHAURI