Wednesday, April 24, 2013

CHANNEL 3 ZA NGONO ZARUHUSIWA KUONESHWA NA MAMLAKA YA MAWASILIANO YA AFRIKA KUSINI




Mamlaka ya mawasiliano nchini Afrika Kusini, ICASA, imeiruhusu kampuni ya matangazo ya TV (king’amuziki) ya TopTV kurusha channel tatu za ngono (porn) Playboy TV, Desire TV na Private Spice.



TV hizo zitakuwa zikionekana kuanzia saa 2 usiku hadi saa 11 alfajiri. Watazamaji watakuwa wakitumia namba ya siri kuziona TV hizo.

JINSI WACHEZAJI WA MAN UNITED WALIVYOKESHA BAR NA CASINO KUSHEREHEKEA UBINGWA.




.
.
Zamani kulikuwa na bia moja ambayo kauli mbiu ya kibiashara ya bia hiyo ilikuwa maneno  “Baada ya kazi ,Burudika” , . Wachezaji wa Manchester United waliifanyia kazi kauli mbiu hii na kuitendea haki kisawasawa baada ya kukesha wakila bata kwenye casino na bar za jijila Manchester kufuatia ushindi wa 3-0 walioupata dhidi ya Aston Villa ambao ulihakikisha ubingwa kwa klabu hiyo kwa msimu wa 2012/2013.
Wakiongozwa na kamanda wa bata kwenye kikosi hicho beki Rio Ferdinand , wachezaji wa United hawakuruhusu uchovu wa mechi uwazuie kula raha na huwezi kuwalaumu kwani kazi kwa msimu huu imekwisha na wanaruhusiwa kufanya wanachotaka kwa sasa.
.
.
.
.
Hakuna aliyebaki nyuma kuanzia kwa wachezaji wa kikosi cha pili kama kipa Ben Amos mpaka kwa mkongwe Ryan Giggs na kipa David De Gea ndio alikuwa mtu wa mwisho kuondoka club saa 12 asubuhi baada ya usiku wa raha akienjoy na washkaji zake baada ya kazi ngumu ya msimu huu.
Zifuatazo ni baadhi ya picha za jinsi hali ilivyokuwa wakati wachezaji wa Man United walipoliteka jiji la Manchester usiku wa juzi.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
14 15
.
.
.
.
.
.
Rio-Ferdinand alipitiliza na kuondoka bila kumaliza kulipa, hapa ni muhudumu akimkumbusha kulipa-baada-kuondoka-akiwa-na-deni
Rio-Ferdinand alipitiliza na kuondoka bila kumaliza kulipa, hapa ni muhudumu akimkumbusha kulipa wakati huo Rio alikua ameshaingia kwenye gari tayari.
Kipa David De Gea ndio alivunja rekodi kwa kuondoka club saa 12 asubuhi.
Kipa David De Gea ndio alivunja rekodi kabisa kwa kuondoka club saa 12 asubuhi.

Nakaya


Nakaaya: Najilaumu kurudisha kadi ya CHADEMA
Kupitia kipindi cha XXL cha Clouds FM, Mwanamuziki wa Bongo Flavor Nakaaya Sumari ameomba radhi watanzania na wanachama wa CHADEMA kwa kurudisha kadi ya CHADEMA na kuchukua ya CCM.
Anaomba Watanzania wajue yeye ni binadam na anafanya Makosa na hamuezi jua ni kwa namna gani anateseka sana .
Anasema hajawahi kulizungumza hili lakini amelisema na anajuta sana.
Nakaaya: Najilaumu kurudisha kadi ya CHADEMA
    Kupitia kipindi cha XXL cha Clouds FM, Mwanamuziki wa Bongo Flavor Nakaaya Sumari ameomba radhi watanzania na wanachama wa CHADEMA kwa kurudisha kadi ya CHADEMA na kuchukua ya CCM.
    Anaomba Watanzania wajue yeye ni binadam na anafanya Makosa na hamuezi jua ni kwa namna gani anateseka sana .
    Anasema hajawahi kulizungumza hili lakini amelisema na anajuta sana.

PICHA 15 ZA UTUPU,ZA WASANII MBALIMBALI HAPA NCHINI..NI AIBU/MMOMONYOKO WA MAADILI





UWOYA

ROSE NDAUKA  NA MAYAAMA kweli dunia imekwisha!
ts

KUMBU KUMBU  YA SAKATA  HILO LA AIBU.

...kulia kwake ni unga..bila shaka ulimpotezea kumbukumbu

Tarehe 18  may, 2010 tangu picha hizi zianze kusambaa mitandaoni,Aisha alifunguka  kuwa  picha hizi ni za kutengenezwa.

Mtandao wa Global publisher ulimtaka Asha awathibitishie watanzania kuwa picha hizi si zake lakini alishindwa kuthibitisha  kuwa picha hizo ni za kutengeza, zilitengnezwa wapi na lini na vigezo gani vinavyoonesha picha hizo ni za kutengeneza.

Ushahidi wa Global kuwa, picha hizo ambazo za mnato na video ni za Aisha mwenyewe upo wazi na hakuna shaka yoyote.NI TAMAA ZA   WASANII  WA BONGO NA ULIMBUKENI WAO.



.
Hata hivyo, sehemu kubwa ya picha za mnato na video hizo zinaonesha wazi kwamba, Aisha alikuwa tayari kupigwa picha hizo, kwani kuna wakati alikuwa akitazama kamera na nyingine akiwa ameweka pozi.

Mara baada ya kutua Bongo akitokea Afrika Kusini, alimwangukia bosi wake, Asha Baraka akimwomba radhi kwa yote aliyoyafanya Afrika Kusini .

Katika habari hiyo, Asha Baraka  alinukuliwa akisema kuwa, anaamini Aisha aliteleza na hivyo ameamua kumsamehe na kumrudisha kundini kuendelea kupiga mzigo kama kawa.

....ntajua ntakachowaeleza watanzania...
AGNESS MASOGANGE... 
BAADA ya kuandamwa na skendo kibao za kutoka na vigogo kisura wa video za wasanii wa bongo, Agnes Geraldmaarufu kama Agnes Masogange, ameonekana kwenye mkanda wa picha ya ngono ambao umesambaa mtaani huku ikiwa dili kwa watu wanaotaka kuona umbo la mwanadada huyo.

Mkanda huo unaomuonesha mwanadada huyo akiwa mtupu, huku utata mkubwa ukizunguka kujua ni kitu gani kilichosababisha hadi kusambazwa kwa video hiyo.


 Mwandishi mmoja wa mtandao wa udaku hapa nchini alifanikiwa kupata video hiyo ambayo mwanadada huyo ameonekana na kijana mmoja ambaye bado hajafahamika jina lake.

Baada ya kupatatikana kwa video hiyo mtandao huo ulijaribu kumsaka Agnes ili kufafanua uwepo wake ndani ya video hiyo lakini hakuweza kupatikana kwenye simu yake .