Thursday, February 20, 2014

PICHA : HAYA NDIO MAZINGIRA YA AKINA DADA WALIOKIMBIA BONGO NA KWENDA KUJIUZA ITALY, INASIKITISHA SANA..!!


Hizi ni baadhi ya picha zinazo onyesha jinsi kina dada kutoka barani afrika wanavyo fanya biashara ya kuuza miili yao iliwaweze kujikimu kimaisha, kwani wengi wamekuwa wakienda uko kwajili ya mambo mbalimbali kama kusoma ama kufanya kazi lakini kutokana na ugumu wa maisha wanaokutana nao huko dada zetu huwamua kuingia katika biashara ya ukahaba ili waweze kujikimu.



HABARI PICHAZ...DIAMOND AZIDI KUTISHA SOUTH AFRICA...ATUPIA PICHA AMBAYO NI GUZO MTANDAONI NOW....!!!