Tuesday, March 19, 2013
HII NDIO ASILIMIA YA WATANZANIA WASIOTAZAMA TV JIJINI DAR TOKA DIGITAL IJE
. Tulikua na uhakika kwamba ni idadi ndogo ya Watanzania waliofanikiwa kununua na kuvitumia vinga’muzi toka mfumo wa digital uanze kutumika Tanzania lakini hatukuwahi kupata ni asilimia ngapi ya watu ambao hawatazami Tv kutokana na kukosa vinga’muzi.
Taarifa imetufikia kwamba utafiti wa haraka uliofanywa na umoja wa wamiliki wa vyombo vya habari MOAT umeonyesha kwamba kwa Dar es salaam pekee, ni zaidi ya asilimia 75 ya Watanzania haitazami channel za TV za nyumbani toka kuzimwa kwa mitambo ya analog ndio maana umoja huo bado umeendelea na msimamo wa kuitaka serikali kuangalia upya uwezekano wa kurudisha matangazo ya analog kwanza.
Haya ni maelezo ya mwenyekiti wa MOAT Reginald Mengi: “Watanzania wapewe muda kujiandaa ili kutoka analog kwenda digital ifanyike vizuri na kwa mafanikio makubwa, pendekezo letu lilikua ni kwamba analog na digital ziende sambamba mpaka tufike mahali tuone kwamba watu wengi kama sio wote wana vyombo vya kuwawezesha kwenda digital, hilo lifanyike kabla ya tarehe 17 june 2015 ambayo ndio siku ya mwisho ya kutumia analog”
Taarifa imetufikia kwamba utafiti wa haraka uliofanywa na umoja wa wamiliki wa vyombo vya habari MOAT umeonyesha kwamba kwa Dar es salaam pekee, ni zaidi ya asilimia 75 ya Watanzania haitazami channel za TV za nyumbani toka kuzimwa kwa mitambo ya analog ndio maana umoja huo bado umeendelea na msimamo wa kuitaka serikali kuangalia upya uwezekano wa kurudisha matangazo ya analog kwanza.
Haya ni maelezo ya mwenyekiti wa MOAT Reginald Mengi: “Watanzania wapewe muda kujiandaa ili kutoka analog kwenda digital ifanyike vizuri na kwa mafanikio makubwa, pendekezo letu lilikua ni kwamba analog na digital ziende sambamba mpaka tufike mahali tuone kwamba watu wengi kama sio wote wana vyombo vya kuwawezesha kwenda digital, hilo lifanyike kabla ya tarehe 17 june 2015 ambayo ndio siku ya mwisho ya kutumia analog”
Monday, March 18, 2013
AIBU: PICHA ZA UCHI ZA MSANII SAPNA WA STEVE R & B ZADAKWA.....
Chanzo makini cha Risasi kimewasilisha folda lenye picha za kutosha za mrembo huyo akiwa mtupu huku kikieleza kwamba ni mchezo wake kujipiga mwenyewe picha hizo.
Kwa sharti la kutochorwa jina lake , chanzo hicho ambacho kipo aribu na Sapna kilisema: “Yule ni mtu wangu wa karibu sana, lakini tabia yake kwa kweli huwa siipendi kabisa. Anajipiga picha chafu mwenyewe, kwake ni starehe kubwa, huwezi kuamini.”
Kikiendelea ufunguka zaidi, chanzo hicho kilipasha kuwa, picha hizo amejipiga hivi karibuni nyumbani kwa rafiki yake aitwaye Doreen, Tabata - Magengeni jijini Dar es Salaam, ambapo alikuwa akiishi naye.
KAULI YA SAPNA.....
Ukistaajabu ya Musa utayaona ya Firauni; Sapna alipopigiwa simu na kuelezwa kuhusu kunaswa kwa picha hizo, kwanza alishangaa lakini akakiri kuzitambua.
“Hizo kweli ni picha zangu na nilijipiga mwenyewe sasa sijui wewe umezipataje na zimefi kaje huko kwenu? Mimi nilipiga kwa masilahi yangu mwenyewe, huwa natamani sana kujiangalia jinsi umbo langu lilivyo, ndiyo maana niliamua kujipiga na si vinginevyo.
“Kila mtu na maisha yake na mimi sikuwa na dhamira mbaya kujipiga picha hizo zaidi ya kujiangalia tu nilivyo,” alisema Sapna.
Saturday, March 16, 2013
Thursday, March 14, 2013
BABLEE FT. KOLIOMBI - DHAMIRA (OFFICIAL VIDEO) Dir: JERRY MUSHALA
BABLEE FT. KOLIOMBI - DHAMIRA (OFFICIAL VIDEO) Dir: JERRY MUSHALA
Directed, Shot and Edited By JERRY MUSHALA Artist: BABLEE FT. KOLIOMBI Song: DHAMIRA Producer: CADDY Used Canon T2i/550d with canon
ONE OF MY FIRST OFFICIAL VIDEO DIRECTED BY ME ( JERRY MUSHALA)
Emzona Classic & Zakky ( WA DON TOWN ) - HAYA MAISHA ( OFFICIAL VIDEO)
Directed, Shot and Edited By JERRY MUSHALA Artist: Emzona Classic & Zakky ( WA DON TOWN ) Song: HAYA MAISHA Dresser: BADY COLLECTION Producer: HIT BITS Used ...
Subscribe to:
Posts (Atom)













