Wednesday, May 1, 2013

BONDIA FRANCIS CHEKA (SMG) AMTWANGA THOMAS MASHALI UKUMBI WA PTA JIJINI DAR ES SALAAM.



CHEKA AMEENDELEZA UBABE KATIKA ULINGO WA NDONDI HAPA NCHINI BAADA YA KUTETEA UBINGWA WAKE BAADA YA KUMTANDIKA MAKONDE MPINZANI WAKE THOMAS MASHALI KATIKA PAMBANO LA MASUMBWI NA KUSHINDA KWA KNOCKOUT KATIKA RAUNDI YA 10.

Bondia Fransic Cheka Kushoto akipambani na Thomas Mshali wakati wa mpambano wao uliofanyika katika sikukuu ya mei mosi katika ukumbi wa PTA Sabasaba Dar es salaam Cheka alishinda kwa KNOCKOUT raundi ya kumi
Bondia Fransic Cheka Kushoto akimshambilia kwa makonde ya nguvu Thomas Mshali wakati wa mpambano wao uliofanyika katika sikukuu ya mei mosi katika ukumbi wa PTA Sabasaba Dar es salaam Cheka alishinda kwa KNOCKO
UT raundi ya kumi
Bondia Shabani Mhamila 'Star Boy' kushoto akioneshana umwamba wa kutupiana masumbwi na Yusuph Jibaba wakati wa mpambano wao uliofanyika mei mosi katika ukumbi wa PTA Saba saba Dar es salaam Star Boy alishinda kwa KNOCKOUT raundi ya nne 
Bondia Shabani Mhamila 'Star Boy' kushoto akioneshana umwamba wa kutupiana masumbwi na Yusuph Jibaba wakati wa mpambano wao uliofanyika mei mosi katika ukumbi wa PTA Saba saba Dar es salaam Star Boy alishinda kwa KNOCKOUT raundi ya nne 
Bondia Shabani Mhamila 'Star Boy' kushoto akioneshana umwamba wa kutupiana masumbwi na Yusuph Jibaba wakati wa mpambano wao uliofanyika mei mosi katika ukumbi wa PTA Saba saba Dar es salaam Star Boy alishinda kwa KNOCKOUT raundi ya nne
Bondia Shabani Mhamila 'Star Boy' akishangilia ushindi huku akiwa amebebwa juu juu kama mkungu wa ndizi 
Bondia Cosmas Cheka kushoto akipambana na Charles Mashali wakati wa mpambano wao uliofanyika katika ukumbi wa PTA Sabasaba siku ya mei mosi Cheka alishinda kwa ponti mpambano hilo 
Kocha wa Kimataifa wa Mchezo wa Masumbwi Rajabu Mhamila 'Super D' akimsindikiza wakati wa kupigana bondia Ibrahimu Class 'King class Mawe wakati wa mpambano wake na amos mwamakula
Bondia Amos Mwamakula kushoto na Ibrahimu Class 'King Class mawe' wakisubili matokeo ambapo class alishinda kwa point
Bondia Thomas Mashali kushoto akioneshana umwamba wa kutupiana makonde na Fransic Cheka katika ukumbi wa PTA Sabasaba Dar es salaam Cheka alishinda kwa KNOCKOUT
Shomari kimbau akiwa na Cheka baada ya kumvisha ubingwa wa IBF Africa aliokuwa akiutetea
Kutoka kushoto ni Kocha wa mchezo wa ngumi Kimataifa Rajabu Mhamila 'Super D' mdau ambaye ajajulikana jina Mtaalishaji wa mpambano kati ya Fransic Cheka Vs Thomasi Mashali Adamu Tanaka 'Tunaluza' na MC wa mpambano huo COOL p
 

DIAMOND NA WASAFI NDANI YA THE SPORAH SHOW UK, MCHEKI HAPA



Top Talent
 Leo hii, baada ya kupiga show kadhaa ndani ya London, UK, Diamond alipata nafasi ya kufanya mahojiano na kipindi cha TV cha "The Sporah Show"

 Diamond akiwa na dancers wake "Wasafi" ndani ya UK

"SIKU NIKIFA RUGE MUTAHABA NA KUSAGA WASIHUDHURIE MAZISHI YANGU"....LADY JAYDEE





Watu wanashtuka mtu akiongelea kifo, Utafikiri hawafahamu fika kuwa kila nafsi itakionja, Kwenye maisha yangu nimepitia mambo mengi, magumu na mepesi
Na bado naendelea ku experience mambo magumu zaidi kadri ninavyozidi kuwa mkubwa.



Siku za karibuni nimekuwa nikipigwa vita sana na watu wenye uwezo mkubwa kifedha , ki umri na hata wenye ukubwa wa connection katika hii industry ya muziki. Wanaomiliki chombo cha habari.


Nasimama na kusema kuwa sitokata tamaa, kwani lengo lao kubwa ni kuona na kuhakikisha nimeanguka kabisa na sipo katika ramani ya muziki.


Watu hao ambao vita yao ilikuwa baridi miaka kumi iliopita, sasa inazidi kuwa moto baada ya kutambua kuwa mimi ni mtu mwenye maamuzi yangu na misimamo yangu bila kuburuzwa.

Wanapita kila mahali kuhakikisha kila mrija unaoniingizia chochote unakatika, na hiyo ni kutaka kuuthibitishia umma wa Tanzania kuwa hakuna msanii anaeweza ku survive bila wao.
 
Mimi ni msanii tofauti na hao mnaofikiria.
Nadhani mnafahamu tangu niachane na Tuzo zenu mnazo influence nani apate nani asipate, na tangu niachane na Fiesta nilipolipwa laki 8 mara ya mwisho na kuamua kuunda Band ili nijiajiri na kupata shows zangu mwenyewe, ikafanikiwa sana jambo ambalo limewauma na kuamua kufanya kitu cha kuiangusha Band yangu.
Nita survive kwa njia zozote MUNGU alizonipangia.Wakati bado wote tunapumua na kwakuwa watu hao hawanipendi kabisa, Naamini fika hawataweza kunipenda hata siku nitakapokuwa nimekufa.

 
Na huu ndio wosia wangu kwa watu hao.
Natambua wanaweza kutumia redio yao kutangaza sana kifo changu na kusema marehemu alikuwa mtu mzuri na pengine kupiga nyimbo zangu kuanzia asubuhi mpaka jioni.
Ila naomba nitamke hivi, siku nikifa CLOUDS FM isipige nyimbo zangu, wala isiongelee lolote kuhusiana na kifo changu.

Ruge Mutahaba na Joseph Kusaga wasihudhurie msiba wangu, na mkiwaona muwapige wame. Enyi mtakaokuwa hai baada yangu.
 
Kama wamenifitini, na hawajanipenda nikiwa hai. Hakuna haja ya kujifanya kunipenda nikiwa marehemu.

Sina haja wanipende pia kwakuwa mimi sio ndugu yao, Ila ubaya wanaoundeleza mioyoni mwao wanaujua na nina hakika nafsi zao zinawasuta pia.
 
Niliamua kujiepusha nao miaka mingi na kufanya biashara zangu, nimekaa kimya watu wanafikiri nabebwa lakini sijabebwa chochote sikutaka ugomvi haya mambo yalianza baada ya Album yangu ya pili ya Binti mwaka 2003 nilipojitoa Smooth Vibes chini ya Ruge.


Nilivumilia fitna nikiamini ipo siku yatakwisha lakini naona moto ndio unazidi kuwaka.
 
Na hii ni kwasababu wanaogopa msanii akiwa mkubwa watashindwa kumuamrisha, Hamuwezi kumiliki dunia..
Kama mnasema mlinibeba mbona hamkuwabeba dada zenu wa tumbo moja waimbe ili hela irudi nyumbani??. kama kweli wewe Kusaga unajua kubeba basi beba jiwe liimbe liwe star..
Kwa roho zenu mbaya mnaweza kumbeba mpita njia nyie??.Talent haibebwi, hujibeba kama mnabisha si mna watoto wabebeni basi wawe kama kina Diamond ndio nitaamini kweli nyie mnaweza kubeba watu.

Mnawatishia wasanii kuwa yoyote atakaefanya nyimbo na mimi hazitapigwa, vikao vinne mmeshakaa kunijadili.
Mnadhani je! nitapungukiwa nini endapo wasanii wengine wakiacha kufanya kazi na mimi?? nyimbo hazitakuwa nzuri.
Basi sawa ngoja tuone MUNGU ni nani, Binadamu nani?? Kwahiyo mtaamrisha watu pia wasikae na mimi??
 
Ilikuwa niseme majina matatu huyo mmoja nimemsamehe baada ya kugundua sio hiyari yake ila yuko under influence ya hawa jamaa wawili.
 
Kila siku mnamsingizia Ruge peke yake Kusaga ni mfitini kuliko hata huyo Ruge, watu hamjui tu.
 
Mtu hela zote hizo bado shillingi mbili ya Jide inakuuma?? Roho gani hiyo??
 
Naishia hapo na sitabatilisha kauli yangu
JIDE

"SIJAJA BONGO KUFUATA PENZI LA DIAMOND"...AVRIL



jana ilikuwa ni birthday ya msanii wa Ogopa Djs ya Kenya, Judith Nyambura Mwangi a.k.a Avril ambaye alitua jijini dar es salaam juzi na sababu ya ujio wake ilikuwa ni vitu vikubwa viwili.

Akihojiwa katika kipindi cha XXL kupitia Clouds fm Avril amesema ujio wake hapa bongo kwanza ni ku-celebrate birthday yake na fans wa Tanzania, na pili ni ku-launch single yake mpya aliomshirikisha Ommy Dimpoz ambaye kwa sasa yuko ziarani barani Ulaya, party ilifanyika usiku wa kuamkia jana (April 30) pale Elements club.

Kuhusiana na maneno ambayo yamekuwa yakisemwa juu ya tetesi za kuwepo kwa mahusiano baina yake na Diamond Platnumz ambaye alimshirikisha Avril katika video ya Kesho, Avril amekana kuwepo kwa uhusiano wowote zaidi ya kuwa marafiki wa kawaida na wa kikazi. "Hakuna kitu chochote kati yangu na diamond  na  sijaja  Tanzania  kufuata  penzi  lake... we are just friends na relationship yetu ni proffesional relationship katika muziki", alisema Avril.
 
Hii ndo birthday party ya kwanza kwa Avril kufanya, birthdays zake zote zilizopita alikua anasheherekea kwa kuchill tu nyumbani na familia yake.

CCM WAMVAA MKUU WA MKOA WA ARUSHA.....WANADAI AMEMUONGEZEA UMAARUFU GODBLESS LEMA



VIGOGO wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wakiwemo wabunge, wamemjia juu Mkuu wa Mkoa (RC) wa Arusha, Magessa Mulongo kwa jinsi alivyoshughulikia kesi ya Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema (CHADEMA).

Wabunge hao waliliambia gazeti hili mjini Dodoma kuwa kesi ya uchochezi iliyofunguliwa na serikali dhidi ya Lema kwa shinikizo la mkuu huyo, itaiathiri kwa kiasi kikubwa CCM.
Mbunge wa Mwibara, Kangi Lugola alisema kuwa amefuatilia kwa makini chanzo cha kesi ya Lema na hatimaye kukamatwa na polisi mithili ya gaidi, na kubaini kuwa hulka 
za utendaji kazi wa baadhi ya viongozi wa serikali zinawapa sifa na umaarufu zaidi CHADEMA.
“Mimi sitaki kuingilia kesi, lakini ukiangalia kuanzia ile inayoitwa video ya vurugu za Chuo cha Uhasibu Arusha na jinsi Mkuu wa Mkoa alivyofika eneo la tukio na kuondoka, utabaini udhaifu mkubwa wa kiongozi huyo ambao leo unamfanya Lema aonekane shujaa.
“Leo tunaingia kwenye uchaguzi mdogo wa madiwani pale Arusha, tunaweza tukashinda, lakini tutafanya kazi ya ziada kwa sababu tu ya udhaifu wa Mkuu wa Mkoa wa Arusha,” alisema Lugola.



Mbunge mwingine ambaye aliomba jina lake lihifadhiwe, alisema alichokifanya Mulongo ni sehemu ya tatizo kubwa la viongozi wa serikali kujihusisha na ukereketwa wa kisiasa.
“Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere aliwahi kusema kuwa kuna kiongozi, tena hakumtaja jina, kwamba anapendwa kubebwa, alisema mwacheni abebwe. Alisema vile kuwazuia polisi kukabiliana na watu wanaopenda kumbeba kiongozi huyo.
“Mkuu wa Mkoa Arusha na wengine wanaokabiliana na wapinzani kwa nguvu kubwa bila sababu, hii inawaongezea umaarufu,” alisema mbunge huyo kutoka moja ya majimbo ya kanda ya kati.
Mjumbe mmoja wa Kamati Kuu (CC) ya CCM ambaye pia hakutaka kutaja jina lake, alilaani jinsi mkuu wa mkoa huyo alivyojikoroga katika kushughulikia mzozo wa Chuo cha Uhasibu Arusha.
“Niliposoma ujumbe wa simu ya mkononi wa Lema ambao alidai umetoka kwa Mkuu wa Mkoa, nilishangaa sana. Sijui kwanini amefanya vile,” alisema kigogo huyo.
Aprili 24 mwaka huu, Mulongo aliliamuru Jeshi la Polisi mkoani Arusha kumkamata Lema kwa madai kuwa aliwachochea wanafunzi wa chuo hicho cha IAA kumzomea na kumrushia mawe.
Lema alizingirwa nyumbani kwake na maofisa wa polisi kitengo cha upelelezi na wale wa doria Ijumaa saa 5.30 usiku kisha kuchukuliwa hadi Kituo Kikuu cha Polisi kuhojiwa na kuwekwa rumande siku tatu hadi Jumatatu wiki hii alipofikishwa mahakamani.
Hata hivyo, madai ya Mulongo kuwa Lema alichochea wanafuzni hao yanakinzana na ushahidi wa video unaoonesha kuwa mbunge huyo alitumia kila aina ya ushawishi kuwasihi wasiandamane kufuatia mwenzao Elly Kago (22) kuuawa na watu wasiojulikana jirani na chuo.
Mapema kabla ya kukamatwa, Lema aliitisha mkutano na waandishi wa habari akidai kutishiwa na Mulongo kupitia ujumbe wa maandishi wa simu.
“Umeruka kihunzi cha kwanza, nitakuonyesha kuwa mimi ni serikali, ulikojificha nitakupata na nitakupa kesi ninayotaka mimi,’’ ulisomeka ujumbe huo uliotumwa kupitia simu namba 0752 960276 ambayo Lema alidai ni ya Mulungo.
Atisha waandishi
Wakati CCM wakiendelea kumlalamikia Mulongo kwa hatua zake dhidi ya Lema, kiongozi huyo jana aliwageukia waandishi wa habari wa Arusha akiwataka wawe makini kipindi hiki, akidai kuwa nao wanatumika na wanasiasa.
Akihutubia katika sherehe za Siku ya Wafanyakazi, alisema kuwa ikibainika wanatumika nao watafikishwa katika vyombo vya sheria.
“Mimi nilikuwa Mkuu wa Wilaya Bagamoyo, hivi hivi wakawa hawanielewi na ikafika wakati wakanielewa kwani kuna miongoni mwao tulitaka kuwafikisha katika sheria, lakini tukayaacha kwa kuwa sisi ndio walezi,” alisema.
Mulongo aliongeza kuwa vitu ambavyo vinaandikwa si kweli kabisa, na kwamba wataendelea kufuatilia kwani baadhi ya waandishi wanashirikiana na wanasiasa kuwachafua viongozi wa serikali.
Alisema baadhi ya waandishi mkoani Arusha wamekuwa wakifanya kazi zao kwa ushabiki wa kisiasa na kuandika mambo ambayo hawana uhakika nayo.
“Unapoingia katika mkakati wa kudhalilisha kiongozi wa serikali unakuwa umeiweka roho yako rehani, kuweni makini,” alisema.
Aidha alivionya vyama vya wafanyakazi mkoani Arusha kutoruhusu kutumiwa na watu kwa malengo ya kisiasa na pia waajiri waache kufanya kazi bila kufuata taratibu na sheria.

RAIS OBAMA AMPONGEZA MWANAUME SHOGA ALIYEJITANGAZA HADHARANI





Mchezaji wa mpira wa kikapu nchini Marekani mwenye asili ya Afrika Jason Collins amejitangaza kuwa yeye ni shoga hatua ambayo imewashitua watu wengi hususani wapenzi wa mchezo huo.

Jason Collins anakua mchezaji wa kwanza wa kimataifa mwanaume ambaye bado anacheza mpira wa kikapu kutangaza kuwa ni shoga huku akisema kuwa yeye ni mwanamme mweusi na ni shoga.

Rais wa Marekani Barack Obama amempongeza mwanababa huyo shoga mwenye umri wa miaka 34 anayecheza katika ligi ya NBA kwa kujitangaza hadharani.

Rais Obama ambaye mwaka jana alitangaza kuunga mkono ndoa za mashoga alimpigia simu Collins na kumpongeza kwa ujasiri alioonyesha na amesema atamuunga mkono.



Mchezaji wa zamani wa NBA John Amaechi mwaka 2007 alijitokeza hadharani na kutangaza kuwa ni shoga lakini yeye alifanya hivyo akiwa tayari amestaafu kucheza kikapu.

Naye Rais wa zamani wa Marekani Bill Clinton alimpigia simu Collins na kusema kuwa hatua hiyo ni muhimu kwa wanamichezo wa kimataifa na ni historia kwa jumuiya ya mashoga na wasagaji.

Binti wa Bill Clinton, Chelseea ambaye amesema kuwa alimfahamu Collins wakati wakiwa wanachuo katika chu kikuu cha Stanford na meandika katika ukurasa wake wa tweeter kwamba anaona fahari kubwa kwa rafiki yake Collins kwa kuwa na ujasiri wa kuwa mchezaji pekee wa NBA shoga na kuweka hadharani hali yake.

"NITAGOMBEA URAIS MWAKA 2015 ENDAPO WANANCHI WENGI WATANIOMBA NIFANYE HIVYO"....BENARD MEMBE




WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Benard Membe, amesema atakuwa tayari kuwania urais mwaka 2015, iwapo wananchi wataona anafaa na kumtaka afanye hivyo. 

Alisema hayo juzi wakati akijibu maswali ya mwandishi wa habari hii mjini Iringa, baada ya kumalizika kwa kongamano la vyuo vya elimu ya juu mkoani hapa, lililofanyika katika ukumbi wa St. Dominic.

Membe aliyekuwa mgeni rasmi katika kongamano hilo, alisema ingawa muda wa kufanya uamuzi kuhusu mwaka 2015 bado na chama hakijatoa utaratibu, lakini atasubiri ushauri wa Watanzania.

"Naomba kurudia, mimi nilishapata kuueleza umma kuwa muda bado haujafika wa kutangaza kugombea urais ...ila nasema hivi natarajia sana ushauri wa Watanzania. 


“Iwapo Watanzania wataniona nafaa na kunitaka nigombee, nitapima mawazo yao na iwapo ni wananchi wengi watakaoniunga mkono kutaka nigombee, basi nitachukua fomu na kuijaza ili nigombee nafasi hiyo kwani sauti ya wengi ni sauti ya Mungu," alisema Waziri Membe.

Maadili ya wabunge Membe alisema hali ya kisiasa nchini inakwenda vibaya kutokana na kila mtu kuzungumza mambo bila kujitathmini. 


Alisema mbaya zaidi hata baadhi ya wabunge wa CCM, nao wamekuwa si msaada kwa chama, kutokana na kuzungumza mambo dhidi ya Serikali na chama.

Membe alisema amepata kukaa bungeni kwa zaidi ya miaka 15 tangu Bunge la Spika Pius Msekwa, hadi sasa chini ya Spika Anne Makinda, ila anachokiona ni baadhi ya wabunge kukosa maadili na kuzungumza mambo bila kuzingatia kanuni za Bunge, jambo ambalo ni hatari zaidi.

Alisema Bunge linalotazamwa na Watanzania, ni lazima liwe la mfano wa kuigwa na lenye kuzingatia maadili katika kuzungumza, lakini sasa ndio maana Bunge linaendelea kupoteza mwelekeo. 


"Bunge linapoteza mwelekeo kutokana na mawazo ya baadhi ya wabunge wanaofikiri wakisema ovyo na kutumia lugha kali katika kuzungumza, wao ndio wanaonekana ni wabunge bora kitu ambacho hakipo.

“Mbunge ni pamoja na kujiheshimu na kutumia lugha nzuri katika kuwakilisha wapiga kura wako bungeni," alisema.


Membe alisema kutotumia busara katika kujadili mambo bungeni, si ubunge mzuri na bora watambue wazi kuwa wananchi wao wanawatazama na hukumu yao itatolewa mwaka 2015 katika uchaguzi mkuu kama hicho wanachokifanya, ni kuwakilisha wananchi au kujiwakilisha.


"Nawaomba wabunge wawe wazalendo, wawakilishe wananchi waliowatuma badala ya kuligeuza Bunge kama sehemu ya kuonesha ujuzi wa kuzungumza ovyo.

“Nasema tuogope wananchi, mwaka 2015 watatoa adhabu kwa kila mbunge na kwa sasa wananchi wanasikiliza na kutazama ila muda ukifika watakuacha," alisema.

Alisema wabunge wengi ni vijana na wanafikiri kusema vibaya juu ya CCM ndio ubunge bora, ila watu watafanya uchunguzi wa kutembelea jimbo la mbunge husika na kuangalia amefanya nini katika jimbo lake na watampima kwa kazi aliyofanya na si ukali bungeni.


Alisifu baadhi ya wabunge wa CCM, kwamba wamekuwa msaada mkubwa kwa wananchi katika majimbo yao, kwa chama na Serikali chini ya Rais Jakaya Kikwete, kwa kusukuma mbele maendeleo ya Taifa, ila baadhi yao wapo kwa ajili ya kuonesha uwezo wa kusema ovyo.

FURAHIA MESEJI ZA MAPENZI KUPITIA HAPA NA SIKU YAKO ITAENDA POA...






Kuna miezi 12 katika mwaka siku 30 katika mwezi�siku 7 katika wiki, masaa 24 katika siku dakika 60 katika saa��lakini wewe ni mmoja tu  maishani mwangu.
                                          ****
I asked God for a rose and He gave me a garden. I asked God for a drop of water and He gave me an ocean. I asked God for an angel and He gave me you!
                                         ****
Kuna vitu viwili zinavyoniamsha asubuhi na mapema: Alamu ya saa yangu na wewe
*****
I will walk with you side by side for only one condition: hide your wings every time we walk together because the whole world might know that you're my angel! 
****
Bongo zenye fikra kali huwa na mawazo, suluhu na sababu; ubongo wa kisayansi huwa na kanuni, nadharia na takwimu; wangu una wewe tu!
****
Do you take me to be your lawfully wedded text mate, in sickness or in health, through metering or not, till low bat do us part?
****
Penzi linaweza kuelezewa kwa namna nyingi. Namna moja niijuayo nikumtumia mapenzi hayo mtu asomaye meseji hii.
****
Each of us is an angel with one wing. The only way we could fly is to hold each other and share wings. So if you have trouble flying, I will always share mine with you.
****

Kama ningeweza kubadili herufi, ningeweka yangu na yako kuwa pamoja.
****
Minsan caring is better than loving. Minsan tea is better than coffee. Minsan smile is better than laughter. Pero nobody is better than you.
****
Umewekwa usiku ili tuweze tuukubali mchana, huzuni ili tuikubali furaha, ubaya ili tuukubali uzuri, wewe ili niyakunali mapenzi.

I don't want to say I miss you, though deep inside I do, coz I'm afraid you might see thru and know how much fear I have of losing someone like you.
****
Unaonekana kung�ara leo nilijuaje��.ni kwasababu unaonekana hivyo kila siku
****
You greeted me hi, I didn't reply. You gave me a sweet smile, I responded with a sigh. You showed me your love, you received a shrug. But when you bid goodbye I began to cry.
****
I have heard from the phone company, the water company, the electric company, but haven't heard from you. Too bad, it's your company I love the most.
****
Mapenzi ni nini? Wale wasiopenda huita majukumu, wale wanaoyachezea huita mchezo, wale wasiokuwa nayo huita ndoto, na wale wanaoelewa huyaita mwisho wa safari, na mimi, mwisho wangu ni wewe.
****
I've been wondering why you're not texting... Multiple choices: a. busy b. dilemma c. tired d. thrifty e. want me to miss you.
****
Love is something special, a treasure I want to find... To others, love is blind but for me, its not true, coz when I fell in love...I saw you.
****
Ni mapenzi gani yanayofanya simu yako ilie kila nitumapo meseji?
****
True love is hard to find, special one, one of a kind. I know because it appeared to me on a strange day I met you.
****
Kama mapenzi huweza kukimbiwa kwa kufumba macho yetu tu, basi nisingefunika macho kabisa. Sitaki sekunde ipite bila kukupenda wewe.
****
While you gave her flowers, you gave me thorns. While all she did was smile, all I did is mourn. While she was so happy, I felt so blue. Because while you loved her, I was loving you.
****
Nilikuwa nikifiria kwamba ndoto haziwezi kuwa kweli, lakini nilibadili mawazo yangu pale tu nilipokuona wewe.
****
Baadhi ya watu huzaliwa na vipaji. Huweza kufanya mambo mazuri kwa ujuzi wao, lakini hamna anayekufikia wewe, kwani ukinisogelea tu kila kitu huwa kizuri.
****
Can I say I love you today? If not, can I ask you again tomorrow? And the day after tomorrow? And the day after that? Coz I'll be loving you every single day of my life.
****
Mwanamke ni yule amfanyaye mwanamme auhisi uanaume wake, wewe ni mwanamke mwenye sifa hizo.
****

If love is a disease then I'm very ill. But I would not want medicine and won't take any pill. I would instead suffer this illness and be bedridden with joy of knowing you.
****
Kukusahau wewe ni ngumu lakini kunisahau mimi ni juu yako. Usinisahau kamwe, unaweza kuisahau meseji hii, lakini si mtumaji.
****
First time I saw you, I was scared to touch you. First time I touched you, I was scared to kiss you. First time I kissed you, I was scared to love you. But now that I love you, I'm scared to lose you!
****
Mambo yanapokwenda mrama kumbuka kuwa kuna Mungu peponi anayekupenda na kukuangalia, lakini yupo duniani anayekujali ambaye ni mimi peke yangu.
****
An angel asked me a reason why I care for you so much. I told her I care for you so much coz there's no reason not to.
****
Why do birds fall from the sky every time you walk by? Maybe because like me they want to be near you!
****
Simu huboa wakati mwingine, kwani ni lazima ufungue meseji na kuzisoma, kuichaji simu kila mara, lakini usichoke kwani ndiyo inayotuwezesha tuwasiliane
****
They say as long as at least one person cares for you, life isn't a waste. So when things go terribly wrong, and you feel like giving up, please remember you still got me.
****
Maneno huanza na ABC. Namba 123. Muziki na do re mi na mapenzi huanza na mimi na wewe.
****
If only one star would fall every time I miss you, then all the stars in heaven would be gone. Don't wonder if there are no stars tonight! It's your fault coz you made me miss you a lot.
****
Mvua na jua haviwezi kuwa pamoja, usiku na mchana hazigongani, lakini mimi na wewe, hata wasemaje, �tunafiti� kuwa pamoja.
****
If someone would ask me what a beautiful life means, I would lean my head on your shoulder and hold you close to me and answer with a smile: "Like this!" 
****
Niotapo ndoto, hukuota wewe...labda siku moja, inaweza kuwa kweli.
****
Life may sometimes be a rough road to walk on where everything seems wrong. But don't give up. Just go on coz when you think you're all alone, look back and you'll find me walking along.
****
Kuna bahari kati yetu. Misitu na milima inatutenganisha, mimi si �Supamani� lakini nipe sekunde moja nitavuka nchi nyingi kukutumia mapenzi yangu. Umeipata hiyo?
****
Someone once asked me, "Have you ever fallen in love?" Then I answered, "Of course, once." Then they asked me another question: "Did it hurt?" I thought of you and told them "Yes, very much".
****
Kama ningeweza kutenga muda kidogo na kuufanya uendelee kung�ara siku zote, siku zote nilizoishi  ningechagua wakati nilivyoishi nawe.
****
I used to think that the world is so unfair, that it gave me so many reasons to hate it. But now, how can I hate such a wonderful world that gave me you?
****
Natamani ningekuwa chozi jichoni mwako ambapo ningetelemka na kuishia midomoni mwako, lakini kamwe sitamani uwe chozi jichoni mwangu nitakupoteza kila muda niliapo.
****
When it rains, you don't see the sun, but it's there. Hope we can be like that. We don't always see each other, but we will always be there for one another.
****
Naweza kuishiwa ujumbe wa kukutumia. Naweza kuishiwa utani pia. Naweza kuishiwa chaji lakini moyo wangu hauwezi kukosa nafasi ya kukuweka.
****
You'll know that you miss someone very much when every time you think of that person, your heart breaks into pieces and just a quick "Hello" from that person can bring the broken pieces back.
****
Penzi, maisha yangu yote nimesoma juu ya neno hili, nimeota juu yake, nimelilia, nimelihitaji. Sasa pamoja nawe nimelipata.
****
When the time comes I can't smile anymore, don't worry about me, I know what to do. I'll just stare at one corner and think of you. No one else could make me happy like the way you do.
****
Kila mtu anataka kuwa jua linalong�arisha maisha yako, lakini ni afadhali niwe mwezi, ili nikuangazie wakati wa giza ambapo jua limechwea na haliangazi tena.
****
There's a love that only you can give, a smile that only your lips can show, a twinkle that can only be seen in your eyes, and a life of mine that you alone can complete.
****
Ah�Nimesahau jina lako. Ninaweza kukuita langu? Na iwapo utasahau langu, niite lako mpenzi!
****
If I had the letters "HRT", I can add "EA" to get a "HEART" or a "U" and get "HURT". But I'd rather choose "U" and get "HURT" than have a "HEART" without "U".
****
Unaweza usione kamwe ni kwa kiasi gani ninavyokujali. Unaweza usisikie ni kwa kiasi gani nilivyokushiba, unaweza usihisi namna gani ninavyokukumbuka. Sababu ni moyo wangu tu uliyoyaficha hayo.
****
There are 4 steps to happiness: 1. you, 2. me, 3. our hearts, 4. together!
****
A day may start or end without a message from me, but believe me it won't start or end without me thinking of you. See! I just did. Take care.
****
Kama busu ni maji ningekupatia bahari, kukumbatia ni majani, ningekupa msitu. Mapenzi ni maisha ningekupa yangu bure.
****
It's hard to say hello because it might be goodbye. It's hard to say I'm okay because sometimes I'm not. But it's easy to say I miss you coz I know that I really do.
****
Ni ngumu kwa watu wawili kupendana wanapoishi Dunia tofauti, lakini Dunia hizo zikutanapo na kuwa kitu kimoja, hiyo ndiyo maana ya kuitwa wewe na mimi.
****
If you're feeling lonely and you think there is nobody there to love, support, listen or show they care, just save this message and every time you realize it, it will remind you that a part of me is always there with you.
****
Watu husema kwamba, awapo mtu mmoja tu akupendaye, maisha hayajapoteza maana, kwa hiyo, ukijihisi mpweke hauhitaji kuishi nikumbuke mimi.
***

Roses are red, violets are blue. I am waiting to hear from a cute guy like you.
****
Watu waliniambia ninaweza kufanya chochote kama tu nitaweka mawazo yangu juu ya hicho kitu. Lakini kila nikijitahidi unaipoteza akili yangu
****
Do you know that men and women are angels created with only one wing? And they need to embrace each other to be able to fly... Hope you can find your angel whom you can fly with forever.
****
Furaha yangu kubwa ni kuliona tabasamu lako, kujua uko na furaha, na kuhisi upendo wako. Najua kuwa maisha mara nyingine huwa ni makatili, na hiyo ni sababu niko hapa kukuonyesha kuwa maisha yanaweza kuwa mazuri kama kuna mtu anayekujali.
****
I always think of you, but I always fail to know the reason why. Is there something else I should know about you? But there is one thing that I know is true. That life will always be sad without you.
****
Chuki huharibu akili; mapenzi huitibu. Umeitibu akili yangu.
****
Don't say you love me unless you really mean it cause I might do something crazy like believe it.
****
Kumjali mtu ni rahisi,  lakini kumfanya mtu akujali ni vigumu, nashangaa umewezaje kunifanya nikujali?
****
I'm afraid to close my eyes coz I might think of you. I'm afraid to open them coz I might see you. I'm afraid to move my lips coz I might speak of you. I'm afraid to listen coz I might hear my heart fall for you.
****

I'm sorry to be smiling every time you're near. I'm sorry my eyes twinkle whenever you're here. I'm sorry that cupid has made his hit. I'm sorry I love you, I can't help it.
****
Nitafute wakati una huzuni, nitafute wakati hamna wa kukusikiliza. Sijali kama mimi ni kimbilio lako la mwisho, bali sipendi ulie peke yako.
****
If love can be avoided simply by closing our eyes, I wouldn't blink at all for I don't want to let a second pass having fallen out of love with you.
****
Ningependa siku moja utamani sana kuwa na mimi, na uhangaike sana kunitafuta, ili ujue ni kwa kiasi ninavyotamani kuwa nawe sasa.
****
If I could be any letter in the alphabet, I'd choose "V" so I can be next to "U"; if you could be any note, I wish you're "RE" so you�re always beside "ME"!
****
Kila unachokifanya natamani niwepo, nikitumainia kila ndoto yako itimie kila muda na sehemu, niwepo nikikutakia mafanikio mema kwasababu nakujali.
****
The spaces between our fingers were created so that another person's fingers could fill them in. Hope you'll find your dream hand to hold you forever.
                                           ****
Viungo vyote vya mwili wangu vinakuhitaji, inawezekana kwasababu nimeumbwa kwa ajili yako.
****
When you love someone, draw a circle around their name instead of a heart coz hearts can be broken but circles never end.
****
Nobody tells fish to swim, birds to fly, cows to moo, dogs to bark - they just do. Just like nobody tells me to remember you. I just do!
****
Kama ungekuwa kidonda kwenye moyo wangu, ningekiacha na maumivu yake ndani yangu.
****
Whenever you feel blue, I will be there for you. Whenever you are sad, I will stay by your side. Whenever you need someone to love, I will always be there for you to have.
****
They can recycle paper till it's as good as new, reproduce cans and jars and old bottles too, but they can never recycle another person as wonderful as you. 
****
What good is beauty without brains, looks without charm, money without happiness, a smile without feelings, a life without you?
****
Kusumbuliwa na mlio wa simu yako, humaanisha kuwa muda fulani, mahali fulani, kuna mtu anakufikiria muda huu, na huyo ni mimi mara zote nakujali.
****
 A person you love is an extension of yourself. Without it, you're not complete so better take care of yourself because I don't want to lose a part of me.
****
I wish my eyes could speak what my heart feels for you; coz my lips can lie on what is true. My eyes couldn't coz even if I close them I could still see you. 
****
Every time I hear my text tone, I always hope one of them is from you. My cell phone may have limited memory space but my heart has unlimited space for someone like you.
****
Nimekuapata! Kama unanichukia, nipige mshale, lakini tafadhali si moyoni sababu hapo ndipo wewe ulipo.
****
Someone asked what makes people happy. Some said wealth and some said fame. I was thinking about this when my cell phone beeped and received a text from you. Then, I smiled and said: "This makes me happy."
****
You're like a target that I always try to aim at. How I wish I could aim you at the heart. But every time I fail, I feel so sad. You know why? It's because I always end up missing you.
****
Naweza kukuazima mabega yangu upande, masikio yangu usikilizie mikono yangu ushikie, miguu yangu, utembelee, lakini si moyo wangu kwani tayari unao wewe.
****
If I get takot, would you hawak me tight? If I gawa something mali, would you make it right? If I build an apoy, would you bantay the flame? If I sabi I miss u, would you ramdam the same?
****
Lazima utakuwa mwizi sababu umeiba moyo wangu, umechoka sababu unakimbia mara zote akilini mwangu, na labda mimi sina shabaha sababu mara zote nikikulenga nakukosa.
****
Mpenzi kwa mara ya kwanza nilipokuana niliogopa kukuambia, hata nilipokuambia niliogopa kukupenda, nilipokupenda sasa naogopa mno kukupoteza. Kusema kweli siko tayari kukukosa katika maisha yangu.
****
 If a kiss were a raindrop, I'd send you showers. If hugs were a second, I'd send you hours. If smiles were water, I'd send you the sea. If love was a person, I'd send you me.
 If I had to choose whether to breathe or to love you, I would use my last breath to tell you that... I love you.
****
Wanasema mtu huanguka katika mapenzi mara moja, jambo ambalo mimi naliona si la kweli kwa maana kila ninapokutazama najikuta nakupenda tena na tena.
****
 It's magic each time we hold each other, each time we cuddle, and each time we kiss. I feel goosebumps all over again. I never want to let you go for fear of losing you, so I just hold on a little bit tighter each day, refusing to let go. You will never know the warmth I feel inside me when I'm with you. You're all I ever wanted.
****
Mpenzi wangu kukutana nawe ilikuwa ni bahati, kukuchagua kuwa rafiki yangu ilikuwa ni maamuzi yangu, lakini kuanguka kwenye penzi lako haikuwa hiyari yangu. Umeniteka moyo na akili yangu pia.
                                          ****
You may not love me like I love you,You may not care for me like I care for you But if you ever need me, I will always be around for you.
****
Imani hufanya mambo yote yawezekane, Matumaini hufufua yaliyopoteza uhai, lakini mapenzi hufanya mambo yote yaonekane mazuri. Sina linalonihuzunisha maishani mwangu kwa kuwa tunapendana!
****
 Love doesn't make the world go round, it just makes the ride worthwhile.  Love is in your heart not to stay, but to be shared.
****
 Mpenzi wangu T tambua kuwa ulimwengu tunaoishi una mambo muhimu matatu. Jambo la kwanza ni kumpata umpendaye, la pili ni kupata atakayekupenda la tatu ambalo ni kubwa kuliko yote ni kwa jambo la kwanza na la pili kuungana pamoja.
****
If you love someone, you give everything as you can and don't expect to receive anything in return.
****
Ni vigumu kumpata mwenye mapenzi ya kweli na zaidi yule atakayekuwa tayari kukupenda zaidi, hivyo nafasi inapopatika si busara kuichezea tudumishe penzi letu laazizi wangu.
****
Mpenzi nakupa pole sana maana nimesikia habari mbaya kwamba unatafutwa na polisi kwa kosa kubwa sana ambalo huwezi kulikana na lina ushahidi wa kutosha kwamba unatuhumiwa kuiba moyo na mawazo yangu kiasi cha kunijeruhi mawazo yangu hadi sasa naonekana kama chizi.
****
When you will find any reason for your love,you should know that your love is not true....because true love has no reasons...
****
You don't have to love in words; even through the silences love is always heard. I Love You Honey! The way you look into my eyes It scares me The way you say "I love you" 
****
Nakupenda mpenzi W nafasi uliyotawala moyoni mwangu ni kubwa, hakuna ambaye anaweza kufikia uhodari wako, wewe ni mtu muhimu sana maishani mwangu.
****
Just 3 words, i have to say it ,no matter where we are,no matter who were with, no matter how lond it takes i have to say i love you
****
Nakupenda sana mwandani wangu ndiyo maana moyo wangu hupatwa kidonda ninaokuona na mwingine hasa anapokuwa hana sifa, nahisi kama anakutumia wewe kama mdori wake wa kumfurahisha. Uwe makini ua la moyo wangu.
****
J, I love u frm core of my heart.My Every beat of heart is u n wen it pumb blood frm heart n blood goes to brain it again remember's u....I LOVE U
****
I wish my eyes could speak what my heart feels for u bcoz my lips could lie on what is true.My eyes couldn't bcoz even if would close them i would still see u ....... love you still n after my last breath
****
Nakupenda mpenzi wangu, sifikirii kitu chochote zaidi yako na kwa kuwa nakupenda sipendi kuwa na urafiki hata na msichana kwani atakuwa anabana nafasi niliyokuwekea wewe. Noamba unipende nami nakupenda kila sikunde inayopita maishani mwangu. Mwaaaaaaaaa baby.
****
Penzi lako ndiyo pumzi yangu nawezaje kukuacha laazizi, ina maana nife??? Siwezi kukuacha nakupenda. Nitakupenda mpaka mwisho wa uhai wangu.
****
I LOVE you not for who you are, but for how you make me feel... Every time you touch me i can feel my heart going BOOM BOOM BOOM and it goes faster and faster. When you are not next to me i feel like a part of me
****
Asali wa moyo wangu, fahamu kuwa unaweza kuamini kwamba mwanga wa nyota unaweza kuunguza nyumba, jua linaweza kusimama, lakini usiwaze hata siku moja kuwa naweza kukuacha.
****
To the soul that hug my soul,to the heart that kept his secret in mine,to the hand that lighted the fire of my emotions,to my lovely butterfly....love will keep us alive
****
Nakupenda sana P tafadhari usinikasirikie, nimekukumbuka nahitaji kukuona unipoze moyo wangu, njooo mwandani wangu nakusubiri daktari wangu.
****
U may be out of my sight, but not out of my heart. U may be out of my reach, but not out of my mind. I may mean nothing to u, but u'll always be special to me.
****
I love so much my heart is sure. As time goes on I love you more. Your happy smile, Your loving face, No one will ever take your place.
****
Mpenzi unawafahamu maadui wa mapenzi yetu ? Ni wale rafiki zako wanaokuletea maneno ya uongo, ndugu zako wanaotugombanisha na wachawi wanotuotea mabaya, tujihadhari tusiwape ushindi. Mapenzi yetu yadumu daima.
****
You have my heart, my soul, and my love. you mean the world to me, and i would do anything for you. you are my true love and I want to be with you forever. you are truley amazing and deserve the very best. I only h
****
Uchungu wa kifo hauna tofauti na maumivu nitakayoyapata ukiniachana, mpenzi usiniache nami siko tayari kukuacha.
****
I love you. I love every little thing about you. I love your cute smile, your magical eyes, and the sound of your voice. I love your gentle touch, and I love the warmth I feel when I�m by your side. I can't stop thinking about u.