Tuesday, April 30, 2013

DOTNATA AWEKEWA TEGO LA SUMU KWENYE JUICE.....



Husna-Poshi-533-K

Muigizaji wa filamu nchini Dotnata Rubagumya anadai kuwekewa sumu kwenye juice na mtu asiyemfahamu ambayo imemsababishia matatizo makubwa ya kiafya.


Amesema alianza kuhisi kupandwa na pressure ambapo alilazwa kwenye hospitali ya IMTU na kuambiwa imepanda hadi kufikia 284 huku wakimweleza huenda ni kwakuwa amenenepa sana.Baadaye alifanyiwa uchunguzi wa moyo kwenye hospitali ya Lugalo kabla ya kupelekwa TMJ kwa vipimo zaidi.
 
Anasema tatizo hilo lilimsabisha ashindwe kuhema, sauti kukata na mara nyingi alikuwa akitapika.
 
“Nimezidiwa usiku wa kuamkia Jumatano nikakimbizwa tena TMJ ndo sasa ikabidi wanichunguze kwa makini kwanini nakuwa hivi ndo wakagundua nimelishwa sumu takriban mwezi wa nane sasa huyo mtu aliyenipa sumu aliipitisha kwa njia ya juice,” amesema Dotnata ambaye kwa sasa ameokoka.
 
Akizungumzia sababu za kuwekewa sumu, Dotnata amesema:
 
“Kila mwanadamu ana mawazo jinsi anavyowaza katika akili yake labda hakupendezewa na mimi niendelea kuishi hivi, labda alifikiria akiniua mimi yeye hatokufa. Lakini natamka wazi kwamba sitokufa nitaishi ili niyasimulie mema ya Mungu. 

 Nimejifunza mtu anaweza kuwa rafiki yako kumbe ndio mbaya wako siwezi kujua ni kwasababu gani, namwachia Mungu.”

"TUNALAZIMIKA KUTUMIA 0718 TUKIWA KATIKA SIKU ZETU HUKU POLISI NAO WAKITUINGILIA KWA NGUVU"....MAKAHABA


Jana CLOUDS FM iliripoti kuhusu kushamiri kwa Biashara ya Ngono katika Maeneo mbalimbali ya jiji la Dar es Salaam  na  jinsi  serikali  inavyolishughulikia  tatizo  hilo  linalokua  kwa  kasi....

Wakihojiwa  kwa  nyakati  tofauti, baadhi ya wasichana wanaojishughukisha na biashara hiyo wameelezea changamoto mbalimbali wanazokutana nazo katika kazi hiyo hususani nyakati za usiku.

Wakizungumzia adha wanazokutana nazo Wasichana hao wamesema kuwa licha ya kukabiliwa hali ngumu ya maisha iliyopelekea kuingia katika biashara hiyo, bado wamekuwa wakikutana na matukio mabaya ikiwemo kukamatwa na kuingiliwa kinguvu na baadhi ya watu wanaojitambulisha kwao kuwa ni askari wa Polisi jamii. 

Mbali na hilo Wasichana hao wamesema hali ngumu ya Maisha imekuwa ikiwalazimu kufanya mapenzi kinyume na maumbile wanapokuwa kwenye Hedhi, pasipo kujali hatari ya kukumbwa na maradhi yoyote. 


Hivi karibuni Jeshi la Polisi Mkoa wa Kinondoni lilitangaza mpango wa kuwaondoa wasichana wamaojishughulisha na Biashara ya ngono mitaani na kuwashtaki kwa mujibu wa Sheria ya makosa ya uvunjifu amani na ukiukwaji wa maadili.
 



Wakizungumza baadhi ya wadau kutoka mashirika na Taasisi mbalimbali za kutetea haki za Binadamu nchini, ambapo kituo cha Sheria na haki za Binadamu pamoja na taasisi ya kutetea haki za Binadamu ya Chuo Kikuu cha Tumaini, kimesema kuwa kitendo cha kuwakamata wasichana hao hakiwezi kuwa suluhisho la kutokomeza Biashara ya ngono nchini.

 
Eneo la MANZESE Uwanja wa Fisi ni miongoni mwa Maeneo ambayo Jeshi la Polisi kanda maalum ya Dar es salaam limeliainisha kuwa limekuwa likikithiri kwa Biashara hiyo

HAMMER Q AMTOA MANUNDU MKEWE BAADA YA UTAMBULISHO WA TX MOSH


I


Baadhi ya picha za mkewe baada ya kipigo






Nguo za Hammer Q zikiwa zimetapakaa damu



Hiki ni kipigo ambacho  Salha  alikipata baada ya kumtambulisha rafiki yake wa kiume ambae ni Tx Moshi kwa mumewe Hammer Q.

Baada  ya  utambulisho  huo....sinema  ya  ngumi  na  mateke  ilianza....
Inavyosemekana alimpiga mateke, mangumi, akampasulia kioo kichwani, kampiga na jiko la mkaa kichwani