Wednesday, April 17, 2013

"COME- ON.....FU*KY YOU"......HILI NI TUSI LA NGUONI TOKA KWA SERUKAMBA BUNGENI LEO....USHAHIDI UPO



Baada ya kuona kusitisha bunge kurushwa live kumepigwa vita, sasa wabunge wamekuja kwa staili ya matusi ili wananchi wasiwe na hamu kabisa ya kuliangalia bunge....

LEO kwa mara nyingine tena, Mh.Peter Serukamba amesikika waziwazi kabisa akitoa tusi mbele ya bunge na hakuna hatua zozote zilizochukuliwa dhidi yake.

Bila woga wala aibu ya kuwa huenda anasikilizwa na wakwe zake ,Serukamba amesikika akisema "Come-on F.U.C.K Y.O.U."

 

TUKIO  LENYEWE  LILIKUWA  HIVI: 
 
Hotuba ya kambi rasmi ya upinzani iliitaka serikali iwachukulie hatua kali wahusika wote wanaohusika na matukio ya utekwaji na uteswaji wa baadhi ya watu,kwa kutolea mifano ya Dr.Ulimboka na Kibanda.katika hotuba hiyo,kambi imeonesha kutoridhika na mwendendo wa utendaji wa idara ya usalama wa taifa.

Aidha hotuba hiyo kuna mahali imemtaja Rwakatare na mwenendo wake kabla ya kukamatwa.

Shida imeanza pale ambapo Mh.Serukamaba aliomba mwongozo wa spika,na kusema kuwa,kuna baadhi ya maswala yaliyomo ktk hotuba hiyo( hasa kuanzia ukurasa wa 1-4) yanazungumzia kesi ya Rwakatare ambayo tayari ipo mahakamani.

Na kwamba kuendelea kusomwa kwa hotuba hiyo ingekuwa ni kuingilia mwenendo wa kesi na kwamba hapo ingekuwa ni kuingilia uhuru wa mahakama.

Katika kutetea hoja zao,wabunge watatu wa kambi ya upinzani(H.Mdee,J.Mnyika na T.Lisu) walisimama na kujaribu kuonesha uhalali wa hoja zao.Wote watatu walijieleza kwa kadiri walivyoona inafaa.

Baada ya hapo ndipo aliposimama Mh.Serukamba na kusisitiza uhalali wa hoja yake.

Sasa kile kitendo cha yeye kusimama tena,inaonekana kulikuwa na minong'ono upande wa pili(lakini hiyo haikusikika) ndipo kwa kujisahau alipojikuta ametupia hewani TUSI HILO  la  "Come-on F.U.C.K Y.O.U."!

Kwa jinsi alivyotukana,aliunganisha haraka na maelezo yake kiasi kwamba Mh.J.Ndugai(aliyekuwa akiongoza) hakumkatisha, akamwacha aendelee.

Baada ya maelezo ya Mh.Serukamba,naibu spika(mwenyekiti) alitoa kauli yake rasmi.

Ndugai amesema kuwa mgogoro huu una mtazamo wa kikanuni,kwa hiyo ameagiza kamati ya kanuni ya bunge ikutane mara moja kujadili swala hilo kisha itoe ushauri kwa kiti cha spika jinsi gani ya kshughulikia mambo hayo yanayoonekana yana utata.

Aidha amesema hotuba hiyo ya kambi rasmi ya upinzani itaendelea kusomwa kipindi cha jioni.

LULU


Leo  Elizabeth Michael  ametimiza  miaka  18.....Anadai  kuwa  wanaodai  kuwa  amezeeka  imekula  kwao  maana  ndo  kwanza  anauanza  utu  uzima




























Leo  Elizabeth Michael  ametimiza  miaka  18.....Anadai  kuwa  wanaodai  kuwa  amezeeka  imekula  kwao  maana  ndo  kwanza  anauanza  utu  uzima



























SIKU YA MAZISHI YA BI. KIDUDE PAMOJA NA HISTORIA YAKE KWA UFUPI



Mwanamuziki mkongwe katika Taarab Fatuma Bint Mbaraka maarufu kwa jina la Bi Kidude amefariki dunia leo mchana  huko Bububu Zanzibar, sehemu alikokuwa anaugulia kwa kipindi sasa. Mwili wake utahamishiwa kwake Rahaleo na mazishi yatakuwa kesho. 

Bi Kidude alizaliwa katika kijiji cha Mfagimaringo..Alikuwa binti... wa mchuuzi wa nazi na hakuna anayejua haswa Bibi huyu alizaliwa tarehe ngapi, kuna hata mawazo kuwa alikwishafikisha miaka 102. 

Katika mwaka 1920 tayari alikuwa amekwisha anza kuimba katika vikundi vya sanaa kule kwao...mwaka 1930 alijiunga na Egyptian Musical Club ya Dar es Salaam na kuzunguka miji mingi ya Tanganyika wakati ule .....

Mwaka 1940 alirudi Zanzibar ambako awali alikuwa amekimbia kwa kuwa aliozwa kwa nguvu na mtu aliyemzidi sana umri.

Bi Kidude pia aliwahi kuimba na Sitti Binti Sadi wakati wa ujana wake, na katika maisha yake Bi Kidude amekwisha zunguka mabara yote akiimba katika majukwaa na wanamuziki maarufu ulimwenguni

BAADHI YA SHOW ALIZOWAHI KUFANYA JIJINI DAR ES SALAAM. HII ILIKUWA June 30, 2012


Shabiki akimtunza Bi Kidude



Mashabiki wakipozi juu ya jukwaa ili kupiga picha na Bi Kidude.



Bi Kidude akionyesha umahili wake wa kucheza.
Hii ilikuwa usiku wa june 30 2011 katika ukumbi wa Equator uliopo Mtoni kwa Azizi Ally ambapo kulifanyika onyesho la taarab, wanamuziki mbalimbali wa taarabu waliudhuria akiwemo mwanamuziki mwalikwa toka Zanzibar Bi Kidude.
Baadhi ya bendi ambazo ziliudhuria onyesho hilo ni Five Star, TOT, East Africa Melod na Mashauzi Clasc



Baadhi ya picha enzi za uhai wake

Akitaniana na mtangazaji wa Clouds Tv, Sakina Lyoka


Akipiga ngoma

Mungu Amlaze Pema Peponi Bibi yetu. Amen

UCHAFU UNAOTENDEKA COCO BEACH NI ZAIDI YA SODOMA NA GOMOLA...



Matukio yanayotokea Dar es Salaam usiku ni balaa, yaliyotendeka enzi za Sodoma na Gomora ni cha mtoto! Oparesheni Fichua Maovu ya Global  kwa mara nyingine imenasa ufuska wa ajabu unaofanyika katika Ufukwe wa Coco, Masaki jijini Dar usiku wa saa 9:00..

Timu ya Risasi ikiwa mzigoni mwishoni mwa wiki iliyopita, usiku tajwa hapo juu na kuendelea hadi kunakucha iliwakuta watu wa kada mbalimbali wakifanya ngono hadharani katika ufukwe huo.

UFUSKA NAMBA MOJA

Katika eneo la wazi lenye mwanga hafifu mchangani, walinaswa mwanamke na mwanaume wakifanya ngono kwa kupakatana bila kujali watu waliokuwa wakikatiza usiku huo kupunga upepo wa Bahari ya Hindi.


Wawili hao walisikika wakitoa miguno ya kimapenzi hadi waliposhtushwa na mwanga wa kamera.

NGONO LAIVU KWENYE GARI

Baada ya kutibua matukio mengine ya kifuska kutokana na mwanga wa kamera, kikosi kazi kiliondoka ufukweni na kwenda kutega kwenye maegesho ya magari.


Katika eneo hilo la maegesho, mwanaume na mwanamke walishtukiwa wakifanya mapenzi bila kujali watu waliokuwa wamelizunguka gari hilo aina ya Toyota Prado, ambalo halikuwa hata na vioo vyeusi (tinted) hivyo mchezo mzima ulishuhudiwa laivu bila king’amuzi hadi polisi wa doria walipofika na kuwagongea, wakaacha ‘kubanjuka’ kwa aibu.

AWAMU YA PILI MCHANGANI

‘Patroo’ ya timu yetu ilitimba kwa awamu ya pili upande wa baharini mchangani ambapo mabinti wa chini ya umri wa miaka 18 walibambwa na ‘mijibaba’ wakiwaridhisha kimapenzi bila kujali wengine ni sawa na baba zao.


Mita chache kutoka pale mabinti hao walipokuwa wakigawa dozi ya mapenzi kwa waliowatoroka wake zao majumbani, kulikuwa na wapenzi waliokuwa ‘wakidendeka’.

FUMANIZI

Wakati hayo yakiendelea eneo hilo, kule chini wanapouza mihogo kulisikika kelele za mwanamke aliyekuwa akilalamika kumfumania mumewe lakini kabla timu yetu haijafika wote walitimua na magari yao waliyokuwa wameyaegesha barabarani.

‘KUKU WATAMU’ WA KUMWAGA

Uchunguzi wetu ulibaini kuwepo kwa mashoga ‘kuku watamu’ wengi pale Coco ambao huzurula maeneo hayo kusaka wanaume.


Wengi wa mashoga hao ni vijana watanashati wa Kiarabu ambao tayari wameshaambukiza tabia hiyo kwa vijana wa Kitanzania.

USAGAJI

Habari za uhakika ni kwamba kuna wanawake wengi ambao hukusanyika eneo hilo usiku kucha wakisaka mabinti wadogo kwa ajili ya kukidhi haja zao za kimapenzi.


Ili kuthibisha hilo, Risasi Mchanganyiko ilishuhudia mwanamke mmoja akimchezea ‘kifua’ mwenzake huku wote wakitoa miguno ya kimahaba.

 
UBAKAJI
Uchunguzi huo ulibainisha kuwa mara kadhaa katika eneo hilo, wanawake hubakwa na vijana ambao wapo pale muda wote kwa ajili ya kuwafundisha kuogelea.

Kuna kisa cha hivi karibuni cha wasichana wawili ambao walileweshwa madawa ya kulevya, wakabakwa na baadaye walitelekezwa ufukweni hapo.

Uvutaji bangi na unga ufukweni hapo si jambo jipya kwani ukifika kule mchangani, unakaribishwa na harufu ya ‘kitu cha Arusha’.

Pamoja na ulinzi  kuimarishwa na jeshi la polisi bado kuna matukio mengine ya kutisha kama ukabaji, uporaji, biashara kubwa ya ngono na madawa ya kulevya.

WEMA SEPETU AJITETEA BAADA YA KUPEWA "MAKAVU" KWAMBA AKOME KUVAMIA WAUME ZA WATU

R.I.P kidude binti baraka!!!
R.I.P kidude binti baraka!!!LEGENDARY IS GONE!!

Leo 17th April Magazetini

 

.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.