Tuesday, July 2, 2013

HUU HAPA UJUMBE WA RAY C KWA MASHABIKI WAKE BAADA YA AFYA YAKE KUIMARIKA...!!


W

Mwanadada Ray C leo hii kupitia ukurasa wake wa instagram ameachia ujumbe huu kwaajili ya mashabiki zake na kuwashukuru kwa support yao. Ametirikia hivi: 

TAZAMA PICHA:TUZO ZA BILLBOARD AWARDS (BBMA) 2013 ZILIVYOFAANA JIJINI LAS VEGAS...!!



Jana Usiku wa Tarehe 1/7/2013 ulikuwa usiku wa  Tuzo
za Billboard Music Award,Tuzo hizi
ni Maalumu kabisa kwa wanamuziki wanaofanya vizuri na
 nyimbo zao zinazosikilizwa zaidi
kwenye vituo mbalimbali vya redio,television na dunia kwa
kwa ujumla  na Online ni kimaanisha Youtube,Itune na n.k kwa Ujumla......


Usiku wa Jana ndio ilikuwa sherehe ya ugawaji wa tuzo hizo
 uliofanyika kwenye jiji la Las Vegas
uku ikiudhuriwa na Mastaa wengi wanaofanya mziki ndani
 ya marekani na nje ya marekani...
Usiku huo unaweza kujionea kwenye picha jinsi
ulivyofaana kabisa kila mtu akiwa kwenye nyuso za furaha
wakati wa kupokea tuzo na hata wakati wa utumbuizaji

Zifuatazo ni picha za ugawaji tuzo na matukio mbalimbali ya
 utumbuizaji kutoka kwa wasanii
walioalikwa kutumbuiza kwenye usiku huo wa Billboards Award
2013 (BBMA)......



Selena Gomez & Taylor Swift...!!
Akon akitumbuiza kwenye usiku wa Tuzo za Billboard...!!
Nicki Minaj & Lil wayne wakitumbuiza pamoja...!!

Madonna akizungumza kwenye steji kuhusu madawa ya kulevya....!!





Psy & Tracy Morgan wakifanya yao jukwanii...!

Sky Blue akitumbuiza Jukwaa moja na Wiz Khalifa....!!picha zote na dj sek 


Justin Bieber akitumbuiza stejini...!!
Will.Iam akizungumza jukwanii...!!
Msanii mkongwe Prince akitumbuiza jukwanii...!!

Taylor Swift akitumbuiza jukwanii...!!
Taylor Swift akipokea Tuzo usiku wa Tuzo za Billboard...!!
Nicki Minaj akipokea Tuzo...!!
Chris Brown Akitumbuiza...!!

Bruno Mars kwenye Stage....!!
Tracy Morgan ndio aliehendesha Shuguli nzima ya Tuzo hizo..!!


Kelly nae alikuwepo kwenye usiku huo wa Tuzo za Billboard
Madonna & Wil-Iam wakiwa jukwani kuwakilisha Tuzo..!!
Serena Gomez akiwajibika stejini...!!

Taylor Swift akipokea Tuzo...!
Justin Bieber akizungumza baada ya kupokea Tuzo...!!

Pitbull akitumbuiza...!!
Jennifer Lopez akifanya yake stejini.....
Celline Dion akizungumza kwenye usiku wa Tuzo hizo za Billboard kama
mkongwe kwenye muziki wa Marekani...!!
David Guetta akitumbuiza jukwaani pembeni akiwa na
 Akon mkono wa kushoto na kulia kwake ni
Ne-Yo
David Guetta akizungumza baada ya kupokea Tuzo...
Lil wayne a.k.a Tunechi akiwa stejini....
Nicki Minaj & Lil wayne kwenye jukwaa wakitumbuiza kwa pamoja...!!
Ne-Yo akitumbuiza jukwani kwenye usiku wa
 Tuzo hizo za Billboard 2013

HAYA NDO MAMILIONI YA PESA ALIYOINGIZA DIAMOND KWENYE SHOW ZA MWEZI ULIOPITA ....


 

Staa wa Kesho, Diamond ameendelea kupiga hela kwa show nyingi zinazomfuata kila kukicha. Wingi wa show hizi unazidi kumfanya kuwa miongoni mwa wasanii wachache wa Tanzania wenye pesa nyingi zaidi.

Tumejaribu kuangalia baadhi ya show alizofanya mwezi huu, atakazofanya mwishoni mwa mwezi huu na mwezi ujao ili kukadiria ni kiasi gani anaweza kuwa ameingiza. Baadhi ya show tunafahamu ni kiasi gani aliingiza huku zingine tukikadiria kutokana na jinsi anavyochaji.
 
Show ya nchini Comoro 22 June
Katika show hii alisema alilipwa si chini ya dola 25,000 za kimarekani ambazo ni zaidi ya shilingi milioni 38.
 
Show za Usiku wa wasafi Tabora 28 na 29 June
Mara nyingi katika show za ndani Diamond hachukui si chini ya shilingi milioni 10 kwa show mbili huenda akawa amelipwa zaidi ya shilingi milioni 15.

Show ya Tigo Mwanza 30 June
Katika show za makampuni kama hizi Diamond hulipwa si chini ya shilingi milioni 10.
 
Kili Music Tour 2013
Tulipata taarifa kuwa Diamond atafanya show kwenye mikoa minne na kwamba amelipwa shilingi milioni 50 kwa show zote.
 
Show ya Matumaini 7 July
 kwenye hii show diamond ana zaid ya mil.10

Show ya Kenya 27 July
Kwenye show hii Diamond atashare stage na mastaa wa Nigeria, Ice Prince na Davido na hapa kama alivyosema kuwa katika show za nje ya nchi huwa hachukui chini ya dola 15,000. Kuna uwezekano hapa akawa amelipwa zaidi ya shilingi milioni 20.
 
Kama una calculator basi unaweza ukapiga hesabu mwenyewe ni kiasi gani ameingiza kwa show za June na July. Kumbuka pia kuwa show zote hata za July tayari ameshasaini mkataba na ameshalipwa chake tayari. Kitu kama milioni 140 na usheee!!
 
Pia kumbuka ni balozi wa Cocacola na hulipwa kila mwezi kwa shughuli zinazohusiana na deal hiyo. Katikati wa mwezi July pia kuna uwezekano akawa na show zingine kibao.
 
“Siku zote ishi ukikumbuka, Maisha ni Vita, vita ambayo mwisho wake ni siku ya wewe kuingia kaburini, hivyo haupaswi kuchoka wala kukata tamaa.Heshima, Juhudi na Maombi ndio nguzo pekee zitazokusaidia wewe kushinda Vita hii… tambua Mwenyezi Mungu ndiye Muweza na Mpaganga wa yote,” anasema Diamond.

FEZA KESSY AENDEKEZA TABIA YA KUPIGWA DENDA NDANI YA JUMBA LA BIG BROTHER



Mshiriki  wa  Botswana, Oneal   ameendeleea  kuyafaidi  mate  ya  dada  yetu   ambapo  wakati  huu  jamaa  huyo aliamua kupiga magoti wakati akimwaga "sera za nguvu"  kwa Feza na kumwambia kuwa maisha yake yalikuwa shagala bagala kabla hajakutana na mwakilishi huyo wa Tanzania.


Maneno hayo matamu yalimwingia vyema Feza ambaye alikuwa akitabasamu muda wote kuashiria upendo mzito kwa jamaa huyo wa Botswana ambaye anataka wawe na maisha pamoja siku za usoni.


Washiriki wengine waliamka na kuwashangalia wapenzi hao kama yalivyo maisha ya kawaida. 

Muda  mfupi  baadaye, Feza  na  Oneal  walianza  kubadilishana  mate  na  ndimi...!!!!!!!