Wednesday, April 17, 2013

 


Jamani mnisadieni mwenzenu huwa ninatabia ambayo kiukweli mimi binafsi siipendi, huwa ninatabia ya kufanya mchezo wa kuigiza tunatiana na mpenzi wangu, huku mimi nikipiga masta(besheni) na yeye akiishia kujipiga madole sasa hii tabia naona inakuwa kero kwangu kila siku lazima tufanye mpenzi wangu yupo mbali na mimi na pia huwa nikiwatongoza wasichana wengine huwa nawauliza kama huwa wanajua kufanya sex phone mara ya kwanza wanasema hawajui ila tukiaanza kufanya wanasema walikuwa wanafanya ata kabla ya hapo,

Kwa mpenzi wangu anapenda sana hii tabia huwa ananishukru na kunisifu kuwa najua sana mapenzi, sasa issue ni kwamba kiukweli utendaji wangu katika tukio lenyewe naona kama hauko timamu sana kama mwanzo sasa natafuta jinsi ya kuacha maana hii tabia inanikwaza huwa nikimaliza kufanya huwa najutia sana haya maamuzi sasa mwaka wa 8 sasa nina miaka 27. 


Nisadieini mwenzenu lakini pia naona wadada wengi wanapendelea sijui ni mimi tu au ata watu wengine wanafanya hivyo ingawa ata kama mdada hajakukubalia mkaduu huu mchezo umekuwa unanifanya nawanasa sana mabinti ata kama ni mgumu wa kutoa mchezo ila sasa unanifanya nimcheat my love na kumkosea mungu muda mwingi!

No comments:

Post a Comment