Saturday, April 6, 2013

E NI SAHIHI KWA MTOTO WA KIKE KUTOKA NYUMBANI NA KWENDA KUPANGA?




Heshima kwenu wadau,sasa hivi kuna trend kubwa ya wasichana ambao kidogo unakuta wamejaaliwa kupata walau kipato cha kawaida tu na kuamua kutoka nyumbani kwao kwenda kupanga chumba.....
Je hili mnalionajae liko sawa au sio sawa?....
Wazazi  wengine  wanaamini  kuwa    hata kama binti  amejaaliwa kupata kazi basi akae kwao mpaka mungu atakapojaalia kumpa mwenza wa ndoa....

Unasemaje  kaka, dada, mjomba, baba au  mama  juu  ya  hili???

No comments:

Post a Comment