Sunday, April 28, 2013

BUSU SI UGOMVI......MAMBO YA KUIGA YATATUMALIZA




Hawa  jamaa  nadhani  wanahitaji  "kupigwa  pindi"  la  matumzi  ya  midomo  yao  kuhusu  "mabusu"  ambayo  ni  mila  tulizoridhi  toka  kwa  wenzetu...

Kama  hujui  potezea....siyo  lazima  upige  busu....usije  ukamng'ata  mwenzio  bwana.!!!




No comments:

Post a Comment