Friday, April 12, 2013

MWANAUME AKIKWAMBIA USIPENDE PESA ZAKE NA BADALA YAKE UMPENDE YEYE HUYO NI MUONGO"....ANGELITA GODWIN


"


Angelita  ni  binti  anayeamini  kuwa  mapenzi  bila  pesa  hayapo  hapa  duniani......

Anadai  kuwa  mwanaume  akimwambia  asipende  pesa  zake  huyo  ni  mdanganyifu  na  hafai  kumili  mwanamke  yeyote  yule.....

Hii  ni  kauli yake  niliyokutana  nayo  facebook 




Angelita Jennifer Godwin
"mmmh!!if i were a boy,nisingetaka mwanamke anaenipenda mimi kama nilivyo,ningetaka apende hela zangu ili nizidi kuzitafuta,na ukweli hamna mwanamke anaempenda mwanaume kama alivyo we all looking for someting,...

Sasa huo usemi wa kuambiana usipende pesa zangu nipende mimi sijui unatokea wapi,acheni kudanganywa jamni ukimpata mwanaume anakwambia nipende mimi na si pesa zangu my dear run.............

coz huyo kaplan kufa maskini au muoga wa maisha....u suppse 2 love them both!!!!!!"

No comments:

Post a Comment