Monday, April 1, 2013

NATURE NDIYE MFALME WA TEMEKE AWAFUNIKA VIBAYA TEMBA,CHEGE NA KUNDI LAO TAZAMA ILIVYOKUWA


.

Top Talent
Sir Kassim Juma Nature, kinara wa kundi la TMK Wanaume Halisi akiwanyooshea Mike mashabiki wake usiku wa kuamkia leo katika mchuano wa NANI MFALME ambapo mashabiki walimkubali kuwa Mfalme wao dhidi ya mahasimu wao, TMK Wanaume Family.
Mhe. Temba akicheza na mashabiki katika mpambano huo wa kukata na shoka
Sir Nature (kulia) na Doro..kazini

No comments:

Post a Comment