Tuesday, May 28, 2013

CHANZO CHA KIFO CHA MSANII ALBERT MANGWEA



Ngwea akiwa na msanii M to the P jana south africa.

Hussein Original ambaye yupo Pretoria amesema Ngwear  na   M to the P  ambaye walikuwa room moja walitakiwa kurudi Tanzania leo  wakitokea  Afrika kusini..

Walipowapitia,  waliwakuta wamezima kwenye room wote wawili baada ya kuji overdose madawa ya kulevya...
 
Mpaka sasa M to the P yupo hoi  katika  hospitali ya St. Hellen  huku  msanii Ngwair  akiwa  tayari  amekwishaaga  dunia.....

Tunaendelea  kufuatilia  undani wa  tukio  hili

R.I.P NGWAIR 

No comments:

Post a Comment