Friday, May 3, 2013

" MAKALIO YANGU BADO YANALIPA..."AGNESS MASOGANGE




Mrembo  asiyeishiwa  na  vituko  maarufu  kwa  jina  na  Masogange  ameamua  kuvunja  ukimya   wa  muda  mrefu  kwa  kuyanadi  makalio  yake.......
  

Kumbukumbu  zetu  zinaonesha  kwamba Masogange  ni  miongoni  mwa  wasanii  waliopata  umaarufu  nchini  Tanzania  kwa  kupiga  picha  za  uchi  na  kucheza  movie  za  Uchi  mithili  ya  wacheza  XXXXX....

Ni  matumaini  ya  wengi  kuwa  Masogange  hutatuvulia  nguo  tena  na  badala  yake  utaishia  kujinadi  kwa HESHIMA..

Nasema  hivi  kwa  sababu  hata  mwaka  jana  ulianza  hivi  hivi.Ulivyoona  watu  wamekupotezea   uliamua  kuvua  nguo  zote  na  kujianika  mtupu,tena  katika  VIDEO  ambazo  zipo  mtandao  hadi  leo....

No comments:

Post a Comment