Wednesday, June 5, 2013

FAHAMU KUFURU ALIYOIFANYA LEO BAKHARESA NCHINI,ASHUSHA MELI HII HAPA MPYA..YA KASI ZAIDI NCHINI..YEYE HUYU HAPA


Boti mpya ya kisasa ya Azam Marine, Kilimanjaro IV ikiwa imeshushwa katika bahari ya Hindi eneo la Zanzibar  mchana wa leo tayari kuanza kazi kwa safari za Dar es Salaam na Zanzibar.

Mmiliki wa Makampuni ya S.S. Bakhresa, Alhaj Said Salim Awadh Bakhresa (katikati) akijadiliana jambo na Mkurugenzi wa Mamlaka ya Usafiri wa Maji Zanzibar (ZMA) na kushoto ni mmoja wa wafanyakazi wa kampuni yake, Jaffar Iddi 

Kilimanjaro IV kabla ya kushushwa kwenye Meli iliyoileta nchini

Inashushwa...

Inateremshwa majini

Azam Marine wamekarabati pia eneo la abiria kupumzika wakisubiri usafiri na mfumo mzima wa huduma hadi ofisi za kisasa

Ofisi mpya za Idara ya Uhamiaji Azam Marine

Ofisi mpya ya Polisi

Abiria wanastarehe sasa

Burudani kwenye Luninga kubwa wakati unangoja boti

Meneja Mkuu wa Azam Marine, Omar Mohamed Said kushoto akizungumza na Waandishi wa Habari kuhusu Kilimanjaro IV

Mzee Bakhresa alikuwa bize mpaka basi leo

Anatazama Meli inavyoshushwa

Mwonekano wa Nje unapoelekea kupanda boti za Azam Marine

Mzee Bakhresa na Jaffar Iddi nyuma

Mzee Bakhresa akifuatilia uteremshwaji wa Meli 

Mzee Bakhresa akitoa maelekezo

Namna hiyo, kila kitu kinakwenda sawa

Mzee Bakhresa

Mzee Bakhresa pembeni ya Abdulrazak, moja kati ya majembe ya Azam Marine(SANTE BIN ZUBERY )

Baaas, iwekeni hapo hapo na mtie nanga; Mzee Bakhresa akitoa maelekezo

No comments:

Post a Comment