Sunday, June 2, 2013

MABADILIKO: MWILI WA NGWEA UTALETWA JUMANNE NA SIYO KESHO



 Mwili wa ngwea  utaletwa Tanzania siku ya jumanne  na  siyo  kesho ...

Taarifa hizi nikwa mujibu wa tweet alotweet Millard Ayo aliyeko nchini africa kusini ulipo mwili wa marehemu Ngwair

No comments:

Post a Comment