Friday, April 19, 2013

HII NDO AIBU YA ZITTO KABWE NA HALIMA MDEE







Wakati Bunge la Tanzania likiendelea kufukuta kwa  vurugu na kauli za matusi na dharau, Wabunge hawa  Zitto Kabwe na Halima Mdee wamefunguka juu ya mambo yanayoendelea bungen kupitia mitandao ya kijamii  na  kudai  kuwa  na  aibu  isiyoelezeka.

Wanadai kuwa Bunge  limekosa  mwelekeo  na  kwamba  kwa  sasa   hawaoni  haja  ya  kuendelea  kuitwa  wabunge

No comments:

Post a Comment