Tuesday, June 4, 2013

MWANADADA WA KITANZANIA ANAYETARAJIWA KUNYONGWA IJUMAA HII NCHINI MISRI BAADA YA KUKAMATWA NA MADAWA YA KULEVYA



Kuna hizi habari  ambazo  zimeanza  kusambaa  kwa  kasi  siku  ya  jana  katika  mitandao  ya  kijamii.....

Taarifa  hizo  zinamuonesha  msichana  ( pichani)  wa  kitanzania  ambaye  anadaiwa  kunyongwa  ijumaa  ya  wiki  hii  baada ya  kukamatwa  na  madawa  ya  kulevya....

Mtandao  huu  bado  haujathibitisha  ukweli  ama  undani  wa  habari  hizo....

LAKINI  kwa  tahadhari, tunaomba  kama  kuna  yeyote  anayemjua  afanya  mawasiliano  na  ndugu  zake  maana  huenda  ikawa  ni kweli.

Na  kama  si  kweli, basi  habari  hii  ipuuzwe..!!

No comments:

Post a Comment