Tuesday, April 9, 2013

SHEREHE YA KUMKARIBISHA KAJALA URAIANI NI LAANA TUPU....WADAU WAHOJI, ANASHEREHEKEA NINI WAKATI MUMEWE ANANYEA NDOO GEREZANI??



 
"Wanaume tumeumbwa mateso, bonge la party huku mumewe  anafia gerezani...."  Hivi  ndivyo  alivyofunguka  mdau  akielezea  hisia  zake  kuhusu  party  hii  ya  kufuru  iliyofanywa  na  Kajala  Msanja  wakati  mumewe  akiozea  gerezani.

Pamoja na mateso yote waliyoyapa  kajala   na  mumewe wakati  wakisaka  maisha kwa  pamoja  na  hatimaye  kujikuta  wakiingia  mahakamani, leo hii MKE wa  mtu  amesahau  yote  na  kuamua kufanya party ya kufuru ..... 
Je yule aliyefungwa ni  nani  yako KAJALA???. Si alikuwa mumeo jamani ?  Je akisikia wewe wafanya kufuru mtaani wakati  yeye  akiwa  bado  ananyea  ndoo  gerezani  atakuelewaje ???. 
Ni  bora  hiyo  pesa mnayoitumia kwa fujo hapo, ungeenda gerezani na kumpelekea  chochote  mumeo  na  MUNGU  ANGEKUBARIKI  MARADUFU.....

PICHA  ZA  SHEREHE  YA  LAANA



wema na kajala




wema, dj fetty na kajala..

No comments:

Post a Comment